Maandamano makubwa dhidi ya ugaidi jijini paris

Maandamano makubwa dhidi ya ugaidi jijini paris

Status
Not open for further replies.
Hutapenda ukweli huu lakini hiyo ardhi ni ya wayahudi.waingereza katika ukoloni wao ndio walibuni taifa la palestina

Kwa hiyo njia sahihi ya kudai ardhi yao ni kuua wanaokalia ardhi hiyo? Huna lolote Makafiri nyinyi ni ndugu, Amerika wanaua watu wengi bila hatia nyinyi huwa mnashangilia lakini muislam hakiua watu wawili woote mnavimba kwa hasira.
 
Kinachofanyika West Africa killing peoples via EBOLA Virus siyo ugaidi? Mauaji ya Waafrika via HIV nk siyo Ugaidi? Mauaji ya Raia wasiokuwa na Hatia Iraq, Syria, Libya, Gaza, Ukrain, Haiti siyo Ugaidi? ... Ugaidi Tafsiri yake ni nini?.... USA na EU wanahaki ya Kuua?
 
Hutapenda ukweli huu lakini hiyo ardhi ni ya wayahudi.waingereza katika ukoloni wao ndio walibuni taifa la palestina

Sio kweli, Israel imeanzishwa baada ya vita Kuu ya pili tena mwaka 1948. Kasome tena Historia yako.

Hivi kwanini mnapenda kudanganya? Ndiyo dini yenu inavyowafundisha? Muwe waongo? Sitaki kuamini hivyo.
 
Mission accomplished.

Dunia ujumbe imeupata kuwa Waislam usiwatukanie dini yao. Wakikujuwa imekula kwako.

Mods mna upendeleo saana huyu dada kwanini hammblock ? Mbona yeye ni kuprovoke watu halafu mnamuangalia
 
Nearly 1.5 million multnationals wamejiunga dhidi ya wachache.

Kama ni wachora katuni basi idadi yao imeongezeka leo!
 
Marais kutoka Mali,Gabon na Niger wameattend.
 
Dini Gani hiyo ya kuzimu?.

Sisi ni Waislam tunamuabudu Mwenyeezi mungu mmoja ambae hajazaliwa wala kuzaliwa na tunaamini mitume yake na mafundisho waliokuja nayo akiwemo Yesu aleyhi salaam.
 
Naam, upendeleo upo tena wazi kabisa, Muislaam akitukaniwa dini yake akae kimya tu? Wewe tu ambae si Muislam ndiyo mwenye haki. Au siyo?

Kwa jina la mungu alie hai nakuomba uniepushie ban. .tx in advanced
 
Naona ndivyo ulivyodanganywa na wewe ukakubali, leta ushahidi kama u mkweli.

Quran 9:5 ua kila asie muislam,chukua mateka,tesa,chinja,ila wakikubali kua waislam wasamehe waende zao.

Huyo ni allah anaagiza kwa mtume wa mwisho.
 
Quran 9:5 ua kila asie muislam,chukua mateka,tesa,chinja,ila wakikubali kua waislam wasamehe waende zao.

Huyo ni allah anaagiza kwa mtume wa mwisho.

Si vyema kusema uongo, hivi dini yako haikukatazi kusema uongo?

Hiyo Aya ya 9:5 ni hii hapa, tena nakuwekea context ili upate darsa zuuuuri. Halafu urudi kwa aliyekudanganya nayeye umpe darsa:

9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

9:6. Na ikiwa mmoja wapo katika washirikina akikuomba ulinzi, basi mpe ulinzi apate kusikia maneno ya Mwenyezi Mungu. Kisha mfikishe pahala pake pa amani. Haya ni kwa kuwa hao ni watu wasiojua kitu

Soma zaidi yakuingie: 9. SURATUT TAWBA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom