meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Maandamano makubwa yanaendelea hivi sasa jijini Paris yakihusu umoja wa kijamii dhidi ya ugaidi.
Viongozi mbalimbali wa kimataifa(zaidi ya mataifa 40) wamehudhuria akiwemo Angel Merkel,David cameron,Benjamin Netanyahu na Mahmood Abass.
Kuna mkusanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea pengine toka uhuru wa ufaransa.
Jamii ya ndani na nje ya Paris imesimama kuupinga ugaidi na pia imeonyesha ni jinsi gani magaidi hawawezi kutishia misingi ya ubinadamu.
#JESUISCHARLIE
Viongozi mbalimbali wa kimataifa(zaidi ya mataifa 40) wamehudhuria akiwemo Angel Merkel,David cameron,Benjamin Netanyahu na Mahmood Abass.
Kuna mkusanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea pengine toka uhuru wa ufaransa.
Jamii ya ndani na nje ya Paris imesimama kuupinga ugaidi na pia imeonyesha ni jinsi gani magaidi hawawezi kutishia misingi ya ubinadamu.
#JESUISCHARLIE