Maandamano kupinga ujio wa Prince Charles

Maandamano kupinga ujio wa Prince Charles

Hoja ni nyingi sana lakini wajumbe wa maandamano haya ya kupinga ujio wa kiongozi wa taifa la kishenzi la uingereza yanaendelea na tumeshawatumia polisi fax watambue kuwa leo ni maandamano makubwa kupinga ujio wa mwakilishi wa familia ya kifalme pamoja na balozi wao nadhani pindi fax hiyo itapojibiwa na ok ya maandamano nitaiweke ubaoni na kama wakikataa pia nitaiweka ubaoni

Kaka kila la kheri. Naomba isije ikawa kama yale maandamano ya Washington DC dhidi ya JK.
 
Ukikua utaacha. Mwalimu Nyerere alisema, Argue Don't Shout. Wewe sio saizi yangu kwa hoja humu ndani.

ndani wapi anty?mimi siwezi kushindana na wewe kilaza kwa hoja bana,,,nafahamu namna ya kujenga hoja but kwakua we kilaza siwezi thubutu kupoteza nguvu na akili zangu ....any way ukimwaga ugali namwaga mboga.

Kwa taarifa tu i hate you magamba coz uar green snake in a green grass!!!nashindwa kuamini ka nyie pia na watanzania,,eti unajua kujenga hoja,,,ujue kujenga hoja wakati hujui nafasi ya huyo prince wenu kwa serikali ya uk,hujui ata ashawishi na nguvu yake!

We usidhani kila mtu hajui ka ambavyo wewe hujui naomba mda nikuandalie histori, nguvu na nafasi ya ufalme kwa serikali ya uk nikioanisha na dhehebu la ANGLIKAN linaloongozwa na familia hiyo....mie si kilaza bana!

Kikubwa kinachoweza nifanya kuprovoke ni kuhate ccm men especially vijana ka wewe kwa kutotutakia mema vijana wenzenu,,any way nahisi kutapika change your mind and fight for your son"s tomorrow.those who are smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dember"
nawakilisha ata ukikereka.
 
Wakuu jioni ya leo wale wote wanaopinga sera za uingereza za kushinikiza Tamaduni za kishetani kama vile upewaji wa misaada kwa ushoga basi naomba mshiriki maandamano makubwa ya kupinga ujio wa prince charles katika nchi yetu ili tuonyesha hatutaki mashinikizo yao na tupo tayari kwa kujitoa jumuia ya madola.

kwa kila unachoweza ata ikiwa kuziba njia kuzomea au kwa kila ishara basi fika uwanja wa ndege leo kushiriki maandamano haya
Wandugu ni muhimu tutambue kwamba "wazungu" katika suala la maendeleo ya binadamu wametutangulia kwa karne kadhaa. Pia tusisahau kwamba jamii yetu bado haijaondoka katika kuwaabagua walemavu,wanawake n.k

Sasa swali la kujiuliza ni JE KWANINI WATU WANAKUA NA TABIA ZA USHOGA, JE TABIA HII INAMAHUSIANO MAUMBILE YA MTU (Kama vile Mtu anavyozaliwa na ulemavu), JE WATU HAWA WAPO KWENYE JAMII YETU?

JE TUNAHAKI YA KISHERIA KUWAHUKUMU KWA KUWA MASHOGA (kamailivyo kwenye nchi zinazoongozwa kwa misingi ya kiislamu), JE UBAGUZI TUNAO WAFANYIA WATU HAWA SI MUENDELEZO WA TABIA YETU YA KIJAMII YA KUWATENGA WALEMAVU KWASABABU ZA KUTOKUJUA SABABU ZA WATU KUZALIWA TOFAUTI NA WALIO WENGI? JE HAWA WATU (MASHOGA) WANAHAKI YA KUISHI NCHINI?

For THE RECORD am restraining myself from PREJUDICE and not in any way condoning HOMOSEXUALITY.
 
Afu naskia na huyo prince charles ni shoga hivi ni kweli?
 
ndani wapi anty?mimi siwezi kushindana na wewe kilaza kwa hoja bana,,,nafahamu namna ya kujenga hoja but kwakua we kilaza siwezi thubutu kupoteza nguvu na akili zangu ....any way ukimwaga ugali namwaga mboga
kwa taarifa tu i hate you magamba coz uar green snake in a green grass!

Nashindwa kuamini ka nyie pia na watanzania,,eti unajua kujenga hoja,,,ujue kujenga hoja wakati hujui nafasi ya huyo prince wenu kwa serikali ya uk,hujui ata ashawishi na nguvu yake!!!we usidhani kila mtu hajui ka ambavyo wewe hujui naomba mda nikuandalie histori,nguvu na nafasi ya ufalme kwa serikali ya uk nikioanisha na dhehebu la ANGLIKAN linaloongozwa na familia hiyo....mie si kilaza bana!

Kikubwa kinachoweza nifanya kuprovoke ni kuhate ccm men especially vijana ka wewe kwa kutotutakia mema vijana wenzenu,,any way nahisi kutapika change your mind and fight for your son"s tomorrow.those who are smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dember"
nawakilisha ata ukikereka.
Umenifurahisha sana na Asante sana kwa mchango na majibu yako. Chuki na hasira ni hulka za Watoto na hufunga milango ya hekima. Imekupendeza tu kuhisi Mimi ni mwana CCM, Mimi ni kijana na Mimi naunga mkono ushoga.

Mie sina dhana yoyote juu yako wala sihitaji kufahamu Kama wewe ni mwanaume au mwanamke, kijana au mzee, shoga au rijali, Kabila gani, dini gani wala mlengo wako wa kisiasa ni upi. Mie najadili

Ikikuchukiza tafuta forum nyingine maana humu kuingia ni hiyari na unayo hiyari ya kuchangia au la.

Samahani sana kwa kukukwaza!
 
Badala ya kuandamana kumtoa msanii magogoni anayeangamiza nchi?
Kama unataka fanya pale ulipo, anza na katibu kata, Tarafa, mkuu wa wilaya
muhasibu, mkurugenzi n.k Unafikiri huo usanii ni wake peke yake we hujui kama
wengine wanatumika kumhujumu. Tukitandika bakora kuanzia mitaani hujuma
zitakwisha!
 
Wandugu ni muhimu tutambue kwamba "wazungu" katika suala la maendeleo ya binadamu wametutangulia kwa karne kadhaa. Pia tusisahau kwamba jamii yetu bado haijaondoka katika kuwaabagua walemavu,wanawake n.k

Sasa swali la kujiuliza ni JE KWANINI WATU WANAKUA NA TABIA ZA USHOGA, JE TABIA HII INAMAHUSIANO MAUMBILE YA MTU (Kama vile Mtu anavyozaliwa na ulemavu), JE WATU HAWA WAPO KWENYE JAMII YETU?

JE TUNAHAKI YA KISHERIA KUWAHUKUMU KWA KUWA MASHOGA (kamailivyo kwenye nchi zinazoongozwa kwa misingi ya kiislamu), JE UBAGUZI TUNAO WAFANYIA WATU HAWA SI MUENDELEZO WA TABIA YETU YA KIJAMII YA KUWATENGA WALEMAVU KWASABABU ZA KUTOKUJUA SABABU ZA WATU KUZALIWA TOFAUTI NA WALIO WENGI? JE HAWA WATU (MASHOGA) WANAHAKI YA KUISHI NCHINI?

For THE RECORD am restraining myself from PREJUDICE and not in any way condoning HOMOSEXUALITY.

Mkuu kuna vitu lazima utambue kuwa katika taifa ambolo tumekuwa na msimamo dhahifu juu ya vitendo vya uvunjaji wa sheria na maadili ni tanzania kwani huwezi kuamini kuwa biashara za ukahaba na ata za uzinifu wa kishetani vimeanza kuingia nchini bila ya kuchukua atua kali za kuwaua au kuwafunga magerezani na tumeacha taifa lijiendeshe kimagumashi pasipo na mwelekeo

Lakini kitu kikubwa ni kushinikizwa kuingiza vitende hivi vya kishetani ndani ya katiba yetu na sheria zetu, yani baada ya kuona tumekuwa kimya katika vitu hivi basi wamechukulia umasikini wetu kama shinikizo la kubadili na kuingiza mambo ya kishetani ndani ya sheria zetu na nchi itambue matendo yasiyo ya kawaida katika jamii yetu

kama tukikubali na kukaa kimya juu ya mambo haya basi kwa mwenendo huu wa nchi yetu kukosa pesa ata ya kulipa mishahara ya watumishi wake itafikia wakati wataweka viwango vya mishahara kulikana na matendo yao haya ya kishenzi
 
Wakuu jioni ya leo wale wote wanaopinga sera za uingereza za kushinikiza Tamaduni za kishetani kama vile upewaji wa misaada kwa ushoga basi naomba mshiriki maandamano makubwa ya kupinga ujio wa prince charles katika nchi yetu ili tuonyesha hatutaki mashinikizo yao na tupo tayari kwa kujitoa jumuia ya madola.

kwa kila unachoweza ata ikiwa kuziba njia kuzomea au kwa kila ishara basi fika uwanja wa ndege leo kushiriki maandamano haya

kwa hiyo tusiposhiriki hayo maandamano sisi ni mabwabwa?
 
Wakuu jioni ya leo wale wote wanaopinga sera za uingereza za kushinikiza Tamaduni za kishetani kama vile upewaji wa misaada kwa ushoga basi naomba mshiriki maandamano makubwa ya kupinga ujio wa prince charles katika nchi yetu ili tuonyesha hatutaki mashinikizo yao na tupo tayari kwa kujitoa jumuia ya madola.

kwa kila unachoweza ata ikiwa kuziba njia kuzomea au kwa kila ishara basi fika uwanja wa ndege leo kushiriki maandamano haya

Jamani haya maandamano sio salama coz taarifa za kiintelijesia zinasema kuna hofu ya mashambulizi ya Alshabaab.
 
Anayepaswa kuandaa maandamano hayo ni serikali kwani tayari imeshatoa msimamo wake wa kupinga ushoga, ili waingereza wajue kuwa wana nchi wote wanapinga kwa sauti moja ndipo serikali sasa inpaswa kuandaa mabango na maandamano ya wananchi kupinga.

Kama haitafanyika hivyo tutaanza kuamini kuwa huenda ujumbe huo umekuja kuishawishi serikali ilegeze msimamo wake kuhusu kupinga ushoga. Kwa nini aje wakati huu? What a coinsidence?
 
kwa hiyo tusiposhiriki hayo maandamano sisi ni mabwabwa?
Hapana mwanaharakati bali usiposhiriki tukizidiwa nguvu na sheria ikapita na kuingizwa kwenye katiba vizazi vijavyo vitatuhukumu wote mimi wewe na wengine kwa kushindwa kuzuia sheria ya kishenzi na inayodhalilisha utu na heshima ya jamii yetu na vizazi vijavyo
 
aAnayepaswa kuandaa maandamano hayo ni serikali kwani tayari imeshatoa msimamo wake wa kupinga ushoga, ili waingereza wajue kuwa wana nchi wote wanapinga kwa sauti moja ndipo serikali sasa inpaswa kuandaa mabango na maandamano ya wananchi kupinga. Kama haitafanyika hivyo tutaanza kuamini kuwa huenda ujumbe huo umekuja kuishawishi serikali ilegeze msimamo wake kuhusu kupinga ushoga. Kwa nini aje wakati huu? what a coinsicence?

kwahiyo unataka wakati kikwete anaenda kumpokea mgeni wake aende na mabango ya kuandamana kumpinga?
haya mkuu nadhani ni wazo siwezi kulipinga moja kwa moja
 

Jamani haya maandamano sio salama coz taarifa za kiintelijesia zinasema kuna hofu ya mashambulizi ya Alshabaab.

Taarifa za kiintelijensia wanazipata wapi zaidi ya kubuni na kutimiza matakwa yao ya ukandamizaji na kuzuia haki ya wananchi ya kueleza hisia zao
 
Nimeandaa bango hapa Tayri tena langu nawataka na hao wafalme wa Uingereza watoke nchi iwe ya demokrasia kama vipi Afrika itawapiga kama libya!! wasifirikirie wao tu ndio wanaweza kuua hapa Duniani na kuamua demokrasia huku wao hawana hiyo demokrasia wana laana hawa wajinga..
 
kwanini tusherehekee miaka 50 kwa kumwita mkoloni wetu tena wakati huu ambao viongozi wa taifa hilo wametoa kauli ya kishenzi dhidi ya mataifa yaliyo kwenye jumuia ya madola.


Hatumtaki kukanyaga nchini kwetu mwakilishi kutoka taifa la kishetani la uingereza

Kwani ni nani aliyetoa wazo la kumualika huyu bwabwa?
 
Kama unataka fanya pale ulipo, anza na katibu kata, Tarafa, mkuu wa wilaya
muhasibu, mkurugenzi n.k Unafikiri huo usanii ni wake peke yake we hujui kama
wengine wanatumika kumhujumu. Tukitandika bakora kuanzia mitaani hujuma
zitakwisha!

kwa nini asiwachukulie hatua wanaomhujumu?
 
Back
Top Bottom