IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,230
- 1,925
Now I can see how you do mind about Spelling.[hapo red]
mind your sepelling
Now I can see how you do mind about Spelling.[hapo red]
mind your sepelling
serikali kupitia kwa waziri wa mambo ya nje
Bora mnisamehe lakini mi naona huyo dogo wa mambo ya nje kama si rizki vilee!
Kwanini hawachukulii hatua kali? Yeye ndie kinara wa usanii wengine wanamuiga tu. Kama sio hivyo mbona alitangaza hadharani kwamba anayomajina ya wauza unga(madawaya kulevya) je aliwachukulia hatua gani? Wacha kumtetea!Kama unataka fanya pale ulipo, anza na katibu kata, Tarafa, mkuu wa wilaya
muhasibu, mkurugenzi n.k Unafikiri huo usanii ni wake peke yake we hujui kama
wengine wanatumika kumhujumu. Tukitandika bakora kuanzia mitaani hujuma
zitakwisha!
Hapa ndipo wabongo tunapokosea, kujaribu kutatua matatizo yetu; wakati usio sahihi, mahali pasipo sahihi na kwa njia zisizo sahihi! Kwa nini tusiandamane kuitaka serikali yetu kuacha mara moja kupokea misaada toka Uingereza na mataifa yote yaliyohalalisha ushoga na usagaji?! Namna nzuri ya kuwashinda waingereza ktk issue hii ni kukataa kabisa misaada yao yote.
Vipi lakini tishio la al shabaab ambao nao tunafumbia macho hela yao ya kigaidi inavyojenga majumba kariakoo na maeneo mengine ya dar limeisha???
Godwine Ndugu yangu unamuandamania nani? Unachoshawishi hapa kifanyike ni sawa na kuwaambia wananchi waandamane kwenda polis kushinikiza kuachiliwa kwa mtuhumiwa au mfungwa ambaye yuko rumande baada ya uamuzi wa mahakama.
Prince Charles ni mwakilishi wa Royal Family, hana mamlaka ya kisera. Hatoi msaada wala hawezi kuzuia msaada kutolewa na Serikali yake. nguvu yake kiushawishi ni ndogo kuliko hata ya Ridhiwan Kikwete.
Mkiandamana wenyewe watawashangaa kweli na kujua upeo wenu wa akili na kuwadharau. Maandamano hayatamtikisa maana atajua tu mmekosea njia au hamkutaarifiwa vyema kuwa anayekuja ni Prince Charles na si Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye ndio angestahili mabango hayo. Isitoshe, kwa dola na demokrasia komavu kama Uingereza, wamekwishaona sana maandamano duniani ya kila aina. Wala maandamano hayawatikisi maana ndio sifa ya ubabe lazima upingwe. Wao muhimu kwao ni Kama maandamano hayo hayatawadhuru tu. Mindhali hampigi mawe, tengenezeni tu mabango hata mkitaka ya digital muandamane hadi mridhike.
Badala ya kuandamana kumtoa msanii magogoni anayeangamiza nchi?
Godwine Ndugu yangu unamuandamania nani? Unachoshawishi hapa kifanyike ni sawa na kuwaambia wananchi waandamane kwenda polis kushinikiza kuachiliwa kwa mtuhumiwa au mfungwa ambaye yuko rumande baada ya uamuzi wa mahakama.
Prince Charles ni mwakilishi wa Royal Family, hana mamlaka ya kisera. Hatoi msaada wala hawezi kuzuia msaada kutolewa na Serikali yake. nguvu yake kiushawishi ni ndogo kuliko hata ya Ridhiwan Kikwete.
Mkiandamana wenyewe watawashangaa kweli na kujua upeo wenu wa akili na kuwadharau. Maandamano hayatamtikisa maana atajua tu mmekosea njia au hamkutaarifiwa vyema kuwa anayekuja ni Prince Charles na si Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye ndio angestahili mabango hayo. Isitoshe, kwa dola na demokrasia komavu kama Uingereza, wamekwishaona sana maandamano duniani ya kila aina. Wala maandamano hayawatikisi maana ndio sifa ya ubabe lazima upingwe. Wao muhimu kwao ni Kama maandamano hayo hayatawadhuru tu. Mindhali hampigi mawe, tengenezeni tu mabango hata mkitaka ya digital muandamane hadi mridhike.