Mnarusha hizi taarifa ili iweje ?View attachment 3527264
Tunarusha taarifa hizi ili wewe Mwarabu koko uumie sana hasa huko nyuma!!Mnarusha hizi taarifa ili iweje ?View attachment 3527264
wakianza kuwabutua Mmarekani anaingia chapHawatafanikiwa watabutuliwa !! Ngojeni muone!
Akiingia ndio kaharibu, nchi itaungana kupigana na common enemy. If anything Iran haiwezi kubali kuwa kibaraka wa USA.wakianza kuwabutua Mmarekani anaingia chap
I'm sure both Israel and America are keeping an eye on Iran.Akiingia ndio kaharibu, nchi itaungana kupigana na common enemy. If anything Iran haiwezi kubali kuwa kibaraka wa USA.
sasa iran ipi iyo haiwez kukubali kuwa kibaraka, kwa lipi walilonalo, utawala wa ki.senge ndo huo unaondoshwa, kama alivyowekwa ayatola na mabeberu leo walomuweka wanamtoa na wanaweka mtu mwngne naye akileta za kuleta wanapga nje.. Usjsahaulishe ayatola aliwekwa na mabeberu tn alikuwa anaish ufaransa.Akiingia ndio kaharibu, nchi itaungana kupigana na common enemy. If anything Iran haiwezi kubali kuwa kibaraka wa USA.
My point is, wananchi wa Iran wanaichukia Israel na USA whether or not Ayatollah ndio kiongozi mkuu!! Hivyo kiongozi yeyote anayekuja awe kibaraka au whatever ataonyesha to true colors zake kwa USA.sasa iran ipi iyo haiwez kukubali kuwa kibaraka, kwa lipi walilonalo, utawala wa ki.senge ndo huo unaondoshwa, kama alivyowekwa ayatola na mabeberu leo walomuweka wanamtoa na wanaweka mtu mwngne naye akileta za kuleta wanapga nje.. Usjsahaulishe ayatola aliwekwa na mabeberu tn alikuwa anaish ufaransa.
Mashushu wote wa mossad wanatiwa nguvuni Usubiri TU watakapo anza kunyongwa baada ya uhalifu wa wao
Na maandamano ya kihalifu yakaishaWiki ya pili waandamaji walio kufa 32 ila kwa tz kwa siku ngapi tu ni maelfu
Halafu wakila chuma mnalaani