Kidabwenge
Member
- Oct 20, 2019
- 23
- 60
Asili yetu watanzania ni unafki
Mwizi na kibaka wakiiba mtaani wanawauwa kikatiri sana ila kwenye wizi na uporaji wa tarehe 29 wanaona sawa kilichotendeka.
Ibaki kuwa pol walikosea pia raia walikosea
Kilichobaki kama wa tz kusameheana na kusonga mbele Mungu ndo mtoa hukumu kwenye hili nimemaliza babaenu kida .
Mwizi na kibaka wakiiba mtaani wanawauwa kikatiri sana ila kwenye wizi na uporaji wa tarehe 29 wanaona sawa kilichotendeka.
Ibaki kuwa pol walikosea pia raia walikosea
Kilichobaki kama wa tz kusameheana na kusonga mbele Mungu ndo mtoa hukumu kwenye hili nimemaliza babaenu kida .