Salih
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 687
- 503
Nakumbuka baada ya mtafaruku kati ya Meya wa jiji la Mwanza(Bwana Matata) kutishia kumuua Mbunge wa Ilemela(Highness Kiwia) na Mbunge huyu kuitisha Maandamano ambayo yalipangwa kufanyika kama sikosei alhamisi iliyopita, ningeomba kuuliza haya maandamano yatafanyika lini?? maana nipo safarini kidogo kwahiyo sina data ila nategemea kurudi j'mosi Mwanza