Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,832
- 15,032
Teh teh..Njaa mbaya sana aisee..Ila mi simlaumu..Kama mtu kaona sehemu kuna pesa na anaweza kuzichukua kilahisi afanyeje sasa..Baada ya Mjomba kutoka na kukiki uraiani Mzee wa kaya akaja kumpoza na milioni 18,Ulitegemea atazikataa aendelee kushindia mihogo?
Walokole wenyewe wanafanya mziki biashara sembuse huyu Mjomba..Mwacheni apige pesa tu
Walokole wenyewe wanafanya mziki biashara sembuse huyu Mjomba..Mwacheni apige pesa tu