kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
ndugu zanguni nimeona kwenye gari msemo huu "Nguruwe pita leo sina mkuki";
nakumbuka Malila alshawahi kuutuo katika one of the post, pia nadhani (sikumbuki vizuri) kuna member mmoja ana signature yenye msemo huu.
sasa nauliza maana ya msemo huu ni nini?
nakumbuka Malila alshawahi kuutuo katika one of the post, pia nadhani (sikumbuki vizuri) kuna member mmoja ana signature yenye msemo huu.
sasa nauliza maana ya msemo huu ni nini?