MAANA YA JINA "JEMBE" ni ipi hasa?

MAANA YA JINA "JEMBE" ni ipi hasa?

Jembe ni Mchapa kazi!!!! labda kama jamaa alishakaa Mombasa coz kule kila kitu hugeuzwa..!!!!
 
Haya bana yote kwa yote jembe ni kifaa anachotumia mkulima sasa hii nyingine inategemea mahali linapotumika na anaye tumia
 
Tatizo waswahili nnajifanya majua sana kiswahili neno mija lina maana 10 kidogo jembe ni misimu ya lugha tu maana yake ni mtu shupavu chapa kazi........kibongo bongo tunatumiaga hata kumuita mtu jembe kwamaana ya ya rafiki au mshkaji
 
Maana zote zilizotolewa za jembe ninakubaliana nazo, lakini kama nimefahamu, kuwa huyo jamaa alikataa kuitwa jembe, kwa sababu jembe linatiwa mpini, na yeye hataki aonekane anatiwa mpini.
 
maana yake yani wewe ni nundo,wewe mgumu,sio msela mavi mimi jembe wangu
 
Mi najua maana mbili tu za neno JEMBE,maana ya kwanza ni mtu mshamba mgeni wa town na maana ya pili ni mtu shupavu,mpiga kazi wa kutegemewa.Mheshimiwa spika naomba kuwasilisha hoja.
<br />
<br />
kifaa ya kikimo kwanza
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Exactly mh,umeniwahi. Hawa ni wale ambao wamezaliwa town,cc wa shamba twajua co kila jembe lina tobo.
<br />
<br />
kama halina kitundu halinogi bana
 
kimjinimjini jembe ni mtaji(pesa).huwezi kufanya biashara kama huna jembe.maana nyingine ni mtu shupavu.kijijini jembe ni kifaa kinachotumika kulimia.mia

mkuu hii kitu ilianzia pande za TMK, hii kwa kiswahili huwa inaitwa misimu
JEMBE ni TEGEMEO FLAN, BILA HILO HAKUNA KITU KITAKACHOENDA SAWA..........mfano
1)Biashara, jembe ni mtaji - in red uko poa
2)Familia, jembe ni mhimili wa nyumba - m2 anaeiweka familia mjini
3)Soka, jembe ni key player wa timu
4)Kilimo, mkulima bila jembe mkono hauendi kinywani - ni mtaji kwake
5)Urafiki, jembe ni mshkaj ambaye ukipiga nae kazi mambo yanaenda poa
Nawasilisha
 
mkuu hii kitu ilianzia pande za TMK, hii kwa kiswahili huwa inaitwa misimu<br />
JEMBE ni TEGEMEO FLAN, BILA HILO HAKUNA KITU KITAKACHOENDA SAWA..........mfano<br />
1)Biashara, jembe ni mtaji - in <font color="#FF0000">red</font> uko poa <br />
2)Familia, jembe ni mhimili wa nyumba - m2 anaeiweka familia mjini<br />
3)Soka, jembe ni key player wa timu<br />
4)Kilimo, mkulima bila jembe mkono hauendi kinywani - ni mtaji kwake<br />
5)Urafiki, jembe ni mshkaj ambaye ukipiga nae kazi mambo yanaenda poa<br />
Nawasilisha
<br />
<br />
100%chief wangu.
 
Back
Top Bottom