nikiandika ninachojisikia bila ya kumbugudha mtu kunna shida? mlivyokua mnakoment mimi nimemtukana mtu?kama kuongea si uongee tu peke yako huko? CHIT-CHAT ina maana members wote tuhusike, tubadilishane mawazo, tucheke and so on...
Unatujazia server tu bure!
Ukiendelea kuongea mwenyewe na huu tunaufuta !!
Halafu usiwe unakula vitu vichafu !! Wakati kuna visafi pure 😀😀
View attachment 2334599Mkuu nautaka uwo mzigo msafiii 😂😂
The camera 📸 🔥Ukiendelea kuongea mwenyewe na huu tunaufuta !!
Halafu usiwe unakula vitu vichafu !! Wakati kuna visafi pure 😀😀
View attachment 2334599
Kijana anataka ajisemeshe mwenyewe !!Mental Health yako iko rehani, you need help
😀😀😀 mkuu umeamua kuendeleza juhudi huku !!sasa bwaa niliandika uzi wangu jamiiforums nikitaka kuongea mambo yangu mwenyewe, chaajabu uzi ukavutwa. naingia niandike kitu changu nashaanga uzi haupo
yani katika kazi rahisi ni kupoteza muda. unashangaa tu saa imeisha, kama utani vile, they used to say, the day is long and the decade is short, not anymore. the day is awful short as well now
Una shairi/misemo mizuri.mwanzoni nilijua ukifanya kazi unayoipenda utakua husikii uvivu kumbe sio kweli. yani inabidi tu ujilazimishe muda mwengine, najifunza jinsi ya kua na nidhamu