kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,061
Haya mambo mimi nayatazama kwa jicho la tatu.Anadhani kusoma Physics na Chemistry ndo kuweza kuoperate viwanda!
Kwanza machine za siku hizi siyo manual ni automated computerized.
Nimesoma mimi physics na chemistry lakini sijawahi kuiapply popote!, hata huko viwandani hawaangalii physics umefauluje
Unapolazimisha watu washikilie kitu ambacho hujakiboresha kiwe cha maana kwao,mantiki yake ni nini?Hutaki watu wawe na kitu cha maana na hiyo ni janja yako kuwakosesha,sivyo?
Tunalalamika kila siku humu jinsi mfumo wetu wa elimu usivyofaa kwa elimu ya sayansi,badala ya kushughulika kuuboresha,ndio kwanza tunazidi kuufanya utuletee majanga zaidi,sasa tukisema hii ni makusudi tunakosea?Hawa wazee na usomi wao hawayaoni haya?
Mimi najiuliza sana,wanachokitaka watoto wasome sayansi au watoto wafeli?Kwanini vikwazo hivi?Watu wasome Physics,Chemistry,Bios,Maths kwa lazima ndani ya mfumo mbovu hivi halafu unawaambia wapate division one na two form six ili wasome bachelor,na wale watakaoshindwa hapo wapitie njia ya certificates,diplomas,kwa GPA ya 3.5!
Wenye akili mmeelewa hidden message hapo!