Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #61
[MENTION]Ruta,
Uzi wako huu hitimisho lake ni kwamba ktk nchi yetu hakuna mtu wa kumkamata mwingine miongoni mwa vigogo. Mkapa hawezi kumtosa mtu ye yote ktk baraza lake kwa kuwa walikula wote wakati wao. Leo tukimshinikiza JK ampeleke Lowasa & co mahakamani hawezi kwa kuwa naye alikula nao sometimes some where. Vivyo hivyo, Jk hana moral authority ya kubadili Sheria na kumwajibisha Mkapa kwa sababu mkapa kwa network yake na intelligence anajua miradi yote yaliyoko mafichoni ya JK.
Suluhisho la kuondoa ufisadi Tz ni kuiondoa ccm madarakani. Full stop.
Hilo ndilo lilikuwa pia pendekezo langu jana ITV-malumbano wakati tunajadili Tz kufanya vibaya ktk olympik.
Mikael P Aweda[/MENTION] ni rahisi kudhani wakiingia cdm madarakani basi ufisadi utakwisha lakini ukweli ni kuwa utazidi maradufu kama mfumo wa uzalishaji wa viongozi utaendelea huu uliopo........