Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Inabidi kuwa kama nchi nyingine ,makatibu wakuu wanakuwa na mikataba ya miaka kadhaa hakuweza kumudu wizara basi anaondoka kimyakimya,na iwe hivyo kwa mawaziri waombe kazi kama nafasi nyingine za serikali.Na hata kupandishwa cheo,kiende kwa kufanyiwa udahili siyo sababu umekaa kwenye nafasi kwa muda mrefu upandishwe tu cheo.