Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Katika khali inayoonyesha kuwa serikali ya ccm inaoongozwa na taswira za upofu usio na tiba, sasa utetezi wa vinara wa kesi za ufisadi wamekuja na mbinu mpya kabisa........... wanatumia ubatili wa maamuzi wa vikao vya baraza la mawaziri na hata kumwita mahakamani kasisi wao Mkuu wa ufisadi Ben Mkapa kama ni kinga ya maovu waliyoyafanya dhidi ya raia wasio na hatia wa taifa hili!
kesi ya mahalu na wenzie ilifutwa kwa mbinu hizi chafu ambazo ni kinyume na sheria na ile ya Pesambili Mramba na wenzie inaonyesha mwelekeo uleule.........utetezi wenyewe una sura inayoshahibiana na hivi................kuwa serikali iliruhusu tuibe sasa kosa letu ni lipi..............na kama mnabisha iteni hata jemedari mkuu wa ufisadi ben Mkapa na hata wasaidizi wake wa karibu watawathibitishia hakuna rushwa kwa sababu baraza lote la mawaziri liliafiki tule na pengine hata baadhi yao ndiyo waliotutuma tuwaibie watanzania wanyonge...............kwa hiyo kama baraza zima la mawaziri liliweka tiki sasa sisi watekelezaji wa ufisadi tuna makosa gani kama wahariri wake hawaguswi siye tuna makosa gani...............................kwa lugha nyingine ni kuwa kama kweli taifa limeazimia kupambana na ufisadi inabidi tuanze kuliwajibisha baraza la mawaziri hususani mwenyekiti wa vikao hivyo..................kabla hatujawafikia dagaa kama hawa akina Pesambili, Mahalu na wenzao..............
wakiona hakimu hapokei rushwa wanamkataa na kutumia ushawishi wao kwa msajili wa mahakama kupata hakimu ambaye atatoa maamuzi wayatakayo........................
huu ni ushahidi tosheleza ya kuwa ufisadi unaanzia Ikulu na kutitirika hadi kwa balozi wa nyumba kumi na baadaye kwa kila raia kujivunia dhuluma................
Waswahili hulonga........"mwiba uingiliako ndiko utokeako."..............kwa vile ufisadi wote huanzia au kichocheo chake ni ikulu basi tuanzie huku kuushughulikia vinginevyo...................the war against graft is a huge distraction............................what do you think?
kesi ya mahalu na wenzie ilifutwa kwa mbinu hizi chafu ambazo ni kinyume na sheria na ile ya Pesambili Mramba na wenzie inaonyesha mwelekeo uleule.........utetezi wenyewe una sura inayoshahibiana na hivi................kuwa serikali iliruhusu tuibe sasa kosa letu ni lipi..............na kama mnabisha iteni hata jemedari mkuu wa ufisadi ben Mkapa na hata wasaidizi wake wa karibu watawathibitishia hakuna rushwa kwa sababu baraza lote la mawaziri liliafiki tule na pengine hata baadhi yao ndiyo waliotutuma tuwaibie watanzania wanyonge...............kwa hiyo kama baraza zima la mawaziri liliweka tiki sasa sisi watekelezaji wa ufisadi tuna makosa gani kama wahariri wake hawaguswi siye tuna makosa gani...............................kwa lugha nyingine ni kuwa kama kweli taifa limeazimia kupambana na ufisadi inabidi tuanze kuliwajibisha baraza la mawaziri hususani mwenyekiti wa vikao hivyo..................kabla hatujawafikia dagaa kama hawa akina Pesambili, Mahalu na wenzao..............
wakiona hakimu hapokei rushwa wanamkataa na kutumia ushawishi wao kwa msajili wa mahakama kupata hakimu ambaye atatoa maamuzi wayatakayo........................
huu ni ushahidi tosheleza ya kuwa ufisadi unaanzia Ikulu na kutitirika hadi kwa balozi wa nyumba kumi na baadaye kwa kila raia kujivunia dhuluma................
Waswahili hulonga........"mwiba uingiliako ndiko utokeako."..............kwa vile ufisadi wote huanzia au kichocheo chake ni ikulu basi tuanzie huku kuushughulikia vinginevyo...................the war against graft is a huge distraction............................what do you think?