jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
WORD- Aksante JouneGwalu hili nalo neno!.
All in all huyu mdada anatakiwa ajichungue haswa (kama hajajichungua) na kufanya maamuzi ya msingi.
Mbu ushauri wowote utakaompatia sisitiza afikirie kwa kina kabla ya kuamua.
Nimekuuliza Mbu huyu mdada hakujaaliwa kupata watoto? maana kama anao watoto, with this confusion yake ningemshauri asijiingize tena kwenye mahusiano, akae alee wanae lol!
Kweli "Mwana"
hata mimi nmeanza kuliangalia hili suala kwa kupunguza jicho la huruma ya kudhalilishwa, kuna ukweli mchungu inabidi tuanze kuungalia kuhusu historia ya huyu dada yetu. Maadamu ametupa nafasi ya kuhusika katika maisha yake basi na sisi inabidi tumuonye hatuchezi na maisha ya watu, TUPO MAKINI.
Mkuu Mbu tuongezee file zaidi za dada yetu.