Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
"Ndio maana tunaambiwa tujifunze kupenda kwa vichwa vyetu pia , sio kupenda kwa moyo tu
Heart over Heels in love and not head over heel ......leave your head to think straight"...-Mwanajamii1
...Kwanini kwenye mapenzi, watu huamua kabla ya kufikiri badala ya kufikiri kabla ya kuamua?
mfano mzuri ni wale 'wanaojutia' kuolewa/kumuoa fulani, na utawasikia wengi na misemo ya "... alificha tu makucha yake!", "...chui ndani ya ngozi ya kondoo!",
Why? kwanini MAPENZI NI UPOFU???