Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,266
Soma makala zipo waandishi ameandika wengi tu ndio utajua ninachosema ni kweli au si kweli maalim ni m-binafsi mmoja hv atakusumbua wengi lkn ukweli Ndio huoSiasa hazigandi siasa zinabadilika kwa hiyo japo unachosema sio kweli lkn kwa sasa wanzabar walio wengi wanataka mamlka kamili