kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,517
- 10,369
Wakiungana na serikali itamaanisha wamekubariana na mchakato wa uchaguzi na wamekubari kuwa walishindwa, pia hata malalamiko yao waliyopeleka icc hayatakua na maana tena, kujiunga na serikali iliyoingia kwa kumwaga damu itakua kudharau maisha yaliyopotea.