Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,271
- 2,024
Wadau nimejaribu kuipitia KATIBA iliyopo ili kupata Kifungu kinachokipa Mamlaka CHAMA TAWALA kuisimamia SERIKALI lakini sijakiona.Ombi kwa Wanasheria wetu.
Je, ni kifungu gani kinachokipa Mamlaka CHAMA TAWALA kuisimamia SERIKALI? Tumeambiwa Tusome kwanza KATIBA iliyopo kabla ya Kupatiwa KATIBA MPYA
Pia soma: Mkutano wa 3 kuenzi Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, Novemba 26, 2023 - Zanzibar
Je, ni kifungu gani kinachokipa Mamlaka CHAMA TAWALA kuisimamia SERIKALI? Tumeambiwa Tusome kwanza KATIBA iliyopo kabla ya Kupatiwa KATIBA MPYA
Pia soma: Mkutano wa 3 kuenzi Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, Novemba 26, 2023 - Zanzibar