Itakuwa ni aibu kubwa kwa Maalim na ACT kukubali kuingia kwenye hiyo Serikali dhalimu.
Ni mtego mkubwa kwa Maalim na kwa ACT. Wakikubali tu, wapewe Wizara ya Mambo ya Ndani ili wafanye kazi ya kukanusha kuwa hakuna raia aliyeuawa na Polisi wakati wa uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtego mkubwa kwa Maalim na kwa ACT. Wakikubali tu, wapewe Wizara ya Mambo ya Ndani ili wafanye kazi ya kukanusha kuwa hakuna raia aliyeuawa na Polisi wakati wa uchaguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app