vita tayari hiyo kila mtu akiwa na mamlaka kama hiyo sijui nini maana ya kuundwa kwa tume ya uchaguz
Kwani NEC na ZEC ni tume huru?
vita tayari hiyo kila mtu akiwa na mamlaka kama hiyo sijui nini maana ya kuundwa kwa tume ya uchaguz
Ndiyo imesha make hivyo.Two wrongs don`t make a right
Jaman nisomeeni hizo kura no million au laki sielew
Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka vituoni.
Amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye fomu zinazotoka vituoni.
Chanzo: DW
Hatariii hii,i smell blood blood here.
Zanzibar wapiga kura hawazidi laki tano!Jaman nisomeeni hizo kura no million au laki sielew
Rais Tunaye Maalim
Ndiyo imesha make hivyo.
shein nae akitangaza yake sijua kama wataelewana. atulie asitake lazimisha tume itangaze anavyotaka yeye.
Unaota mchana wewe lofa na mpumbavu. Lowasa kaburuzwa vibaya mno. Fisadi anaenda kuwa nyampara segereaBado zamu ya makufuli huku!!! nae apigwe chini ili tujue kipindi cha ccm kimeisha!!!
Jaman nisomeeni hizo kura no million au laki sielew
Sasa Dr.shein akitoa ya kwake yanayoonesha ameshinda, maalim atatoa uthibitisho gani ili watu wamuamini? Hii kazi ya kutangaza matokeo itakuwa ni busara kubwa kuiachia mamlaka husika jukumu hilo ili kuepusha kutokea fujo.