Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Kupanga kufunga ndoa kinyume na utaratibu ndiyo hivyotena kizungumkuti kimeanza.
kwani nani kawaambia CHADEMA iliwaomba CUF kuungana, hoja zenye ukweli ndizo zilizowafanya wabunge wa zanzibar wenye nia nzuri na nchi yao kuunga mkono msimamo wa CDM>>> na mlitegemea nini kutoka kwa Maalum Seif wakati yeye ni makamu wa Rais na serikali ndiyo iliyowasilisha msuada huo?
Milango ya kutokea haitabadilika chadema na cuf ta wakafunga ndoa kanisani bado watapotezana tu na ccm kuendelea kuwatumikia watanzania.Acha mipasho na taarabu zako hiz, we subiria majibu ya hiz harakati za CDM na CUF ndo mtatafuta pa kutokea.
Mh katika hilo, nadhani Julius Mtatiro ndiye mwenye siri nzito na mtu anayestahili kujibu swali hilo
Wakati anawaeleza hayo wewe ulikuwa wapi hadi ukapata fursa ya kupangilia vizuri mawazo yake?Wadau,
Taarifa za kuaminika nilizopata kutoka chanzo cha kuaminika huko
Zanzibar zinasema kuwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad
amepinga kitendo cha baadhi ya viongozi wa chama hicho kuingia
makubaliano na CHADEMA ili kupinga muswada wa katiba mpya. Maalim Seif
amenukuliwa akisema mbele ya baadhi ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar kuwa uamuzi huo si wa kichama bali ni msimamo wa baadhi ya
viongozi wa chama hicho ambao wamepewa fedha na CHADEMA ili wawe na
msimamo wa aina moja. Maalim Seif anasema kuwa wanaoratibu mpango huo ni
Naibu Katibu Mkuu, Julius Mtatiro kwa kushirikiana na baadhi ya wabunge
wa chama hicho kutoka Zanzibar. Taarifa zinasema kuwa Mwenyekiti wa
chama hicho, Ibrahim Lipumba inaelekea kuwa ameingia kucheza ngoma
ambayo haijui na matokeo yake anaonekana kupoteza mwelekeo na kukosa
msimamo. Hoja zilizoainishwa na Maalim Seif za kupinga makubaliano hayo
ni hizi zifuatazo;
- Hakuna kikao chochote cha chombo chochote cha
kiutendaji na kimaamuzi cha CUF kilichoketi iwe Zanzibar au Tanzania
Bara kujadili jambo hilo na kuweka msimamo wa chama.- Maoni yaliyotolewa na Kambi Rasmi ya Upinzani
juu ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba hayakuwa maoni ya
vyama vyote vya upinzani bali yalikuwa ni maoni ya CHADEMA pekee
waliyoandaa kwa muktadha wa kujipatia umaarufu Zanzibar- CUF ni moja ya vyama vinavyounda serikali ya
umoja wa Kitaifa Zanzibar. Kutokana na ukweli kuwa Serikali hiyo
imeshirikishwa na yeye (Maalim Seif) ameshiriki katika kuboresha Muswada
huo anaamini kuwa chama hicho kupitia Serikali ya Umoja wa kitaifa
ambayo imepewa baraka na Wazanzibari wote kimeshiriki kutoa maoni yake.
Hivyo madai kuwa Wazanzibari hawajashirikishwa si ya kweli na ni
upotoshwaji mkubwa- Misimamo ya viongozi wa CHADEMA dhidi ya
Zanzibar mara zote imekuwa hasi na kwa hali hiyo hali iliyojitokeza ya
viongozi wa chama hicho kujipendekeza kwa Wazanzibari imetafsiriwa kuwa
ni ulaghai wa kisiasa.- Zanzibar ina viongozi ambao ndio waliopewa
dhamana ya kuwasemea Wazanzibari na si mtu mwingine ambaye misimamo yake
dhidi ya Wazanzibari inajulikana- Kwa muda mrefu, CHADEMA wamekuwa wakitoa kauli
za kuudhi dhidi ya CUF na viongozi wake hasa wale wanaotoka Zanzibar
kama vile CUF ni CCM B, CUF ni chama cha Kiliberali ambacho kinasupport
ndoa ya jinsia moja na CUF imeolewa na CCM. Kwa kauli hizo, hakika
muungano unaosema hasa na CHADEMA si wa kweli bali ni wa maslahi ya
upande mmoja.- CHADEMA wanataka kuitumia CUF kama daraja ili
kujipatia wafuasi Zanzibar. hii ni kutokana na CHADEMA kuendelea
kupoteza mvuto visiwani humo hasa kutokana na viongozi wakuu wa chama
hicho kuwa na chuki binafsi dhidi ya Zanzibar. Aibu aliyopata Katibu
Mkuu wa CHADEMA alipofanya ziara visiwani humo imechochea viongozi wa
chama hicho kuona haja ya kuungana na CUF
Kutokana na hali hiyo, Maalim Seif ametoa msimamo ufuatao ambao
anategemea kuuwasilisha kwenye vikao halali vya kiutendaji vya CUF na
ambao amesema unaungwa mkono na viongozi wengi wa chama
hicho;
- Yeye kama katibu Mkuu na mtu anayekubalika na
kutumainiwa na Wazanzibari wengi hatashiriki kikao chochote na CHADEMA
kujadili jinsi ya kukwamisha mchakato wa Katiba- Yeye kama Katibu Mkuu hatashiriki ziara
iliyotangazwa na CHADEMA ya kuzunguka nchi nzima kwa kile kinachodaiwa
kuishtaki serikali ya ccm kwa wananchi- CHADEMA wameonywa kutojipendekeza kwa CUF na
wamekumbushwa msimamo wao kuwa CHADEMA KITASIMAMA KWA MIGUU YAKE YOYOTE
NA HAKIHITAJI MSHIRIKA YEYOTE KATIKA JAMBO LOLOTE
Nawasilisha
Ngoma bado mbichi huyo ndiyo maalim nadhani wazanzibar wamemsuta kuungana na makfir chadema ingekuwa ni kuitukana zanzibar.
Ngoma bado mbichi huyo ndiyo maalim nadhani wazanzibar wamemsuta kuungana na makfir chadema ingekuwa ni kuitukana zanzibar.
upo sahihi kabisa.....halafu anaonekana katumwahatutachangia hii thread maana aliyeileta, anayechangia ni mtu mmoja kwa id kibao ,anachokifanya ni kuhama hama komputa na kufikiria sasa atukane tusi lipi...hakika hakuna wenye akili timamu wataleta mwawazo mbadala ila watasoma na kuuliza maswali na mengineyo...kumbuka sijachangia thread hii,,,na wanajf wenye akili timilifu hatutachangia maneno yenu ya kwenye kanga bali tutauliza maswali mengi tuuu.
Sasa ngoma imeingia patamu. Sijui CHADEMA watakuja na lipi la kutueleza
Ngoma bado mbichi huyo ndiyo maalim nadhani wazanzibar wamemsuta kuungana na makfir chadema ingekuwa ni kuitukana zanzibar.
Ndoa sasa itakuwa ndoano sikujua kama chadema ndiyo alikuwa mke na cuf ndiyo mume au vinginevyo.
Mkuu, sawa kabisa. Si hilo tu bali ametudhihirishia kuwa CHADEMA ni waongo na ni walaghai
Chadema kinafaa kuungana na jamaa yao shetani tu wala siyo chama cha siasa.
Mh katika hilo, nadhani Julius Mtatiro ndiye mwenye siri nzito na mtu anayestahili kujibu swali hilo
Ndoa ya mkeka imebuma
Mkuu, hakika njia ya mnafiki ni fupi. CHADEMA wamesahau kuwa walijigamba kuwa wao watasimama kwa miguu yao tu na si kutegemea mbeleko ya vyama vingine
Maalim seif mjanja, inaitwa ngastukaa, hakuna kumtumia mwanaume mwenzio km ile mipira
Mkuu, sidhani kama kulikuwa na ndoa hapo ila nilichobaini ni kuwa CHADEMA (mwanamke) alikuwa anamtamani CUF (mwanaume) ila alikuwa anashindwa kumtongoza kwa kuogopa kuchomolewa na kuitwa malaya. uvumilivu ulipomshinda mwanamke akajitosa kumtongoza mwanaume na sasa amechomolewa
Ila kiukweli nimependa sana msimamo wa huyu mtu. ningeshangaa kama angekubali kuungana na CHADEMA maana kwa kufanya hivyo kungehatarisha serikali ya umoja wa kitaifa ambayo kwa sasa imekuwa imara sana
I support you Mkuu. Ila nadhani uroho wa madaraka ni kasumba ya wanasiasa wengi wa kiafrika. Mwone hata mwenyekiti wake alivyong'ang'ania nafasi ya mwenyekiti
Maalim Seif sasa ameiva kisiasa.
wadau,
taarifa za kuaminika nilizopata kutoka chanzo cha kuaminika huko zanzibar zinasema kuwa katibu mkuu wa cuf, maalim seif sharif hamad amepinga kitendo cha baadhi ya viongozi wa chama hicho kuingia makubaliano na chadema ili kupinga muswada wa katiba mpya. Maalim seif amenukuliwa akisema mbele ya baadhi ya viongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar kuwa uamuzi huo si wa kichama bali ni msimamo wa baadhi ya viongozi wa chama hicho ambao wamepewa fedha na chadema ili wawe na msimamo wa aina moja. Maalim seif anasema kuwa wanaoratibu mpango huo ni naibu katibu mkuu, julius mtatiro kwa kushirikiana na baadhi ya wabunge wa chama hicho kutoka zanzibar. Taarifa zinasema kuwa mwenyekiti wa chama hicho, ibrahim lipumba inaelekea kuwa ameingia kucheza ngoma ambayo haijui na matokeo yake anaonekana kupoteza mwelekeo na kukosa msimamo. Hoja zilizoainishwa na maalim seif za kupinga makubaliano hayo ni hizi zifuatazo;
- hakuna kikao chochote cha chombo chochote cha kiutendaji na kimaamuzi cha cuf kilichoketi iwe zanzibar au tanzania bara kujadili jambo hilo na kuweka msimamo wa chama.
- maoni yaliyotolewa na kambi rasmi ya upinzani juu ya muswada wa sheria ya marekebisho ya katiba hayakuwa maoni ya vyama vyote vya upinzani bali yalikuwa ni maoni ya chadema pekee waliyoandaa kwa muktadha wa kujipatia umaarufu zanzibar
- cuf ni moja ya vyama vinavyounda serikali ya umoja wa kitaifa zanzibar. Kutokana na ukweli kuwa serikali hiyo imeshirikishwa na yeye (maalim seif) ameshiriki katika kuboresha muswada huo anaamini kuwa chama hicho kupitia serikali ya umoja wa kitaifa ambayo imepewa baraka na wazanzibari wote kimeshiriki kutoa maoni yake. Hivyo madai kuwa wazanzibari hawajashirikishwa si ya kweli na ni upotoshwaji mkubwa
- misimamo ya viongozi wa chadema dhidi ya zanzibar mara zote imekuwa hasi na kwa hali hiyo hali iliyojitokeza ya viongozi wa chama hicho kujipendekeza kwa wazanzibari imetafsiriwa kuwa ni ulaghai wa kisiasa.
- zanzibar ina viongozi ambao ndio waliopewa dhamana ya kuwasemea wazanzibari na si mtu mwingine ambaye misimamo yake dhidi ya wazanzibari inajulikana
- kwa muda mrefu, chadema wamekuwa wakitoa kauli za kuudhi dhidi ya cuf na viongozi wake hasa wale wanaotoka zanzibar kama vile cuf ni ccm b, cuf ni chama cha kiliberali ambacho kinasupport ndoa ya jinsia moja na cuf imeolewa na ccm. Kwa kauli hizo, hakika muungano unaosema hasa na chadema si wa kweli bali ni wa maslahi ya upande mmoja.
- chadema wanataka kuitumia cuf kama daraja ili kujipatia wafuasi zanzibar. Hii ni kutokana na chadema kuendelea kupoteza mvuto visiwani humo hasa kutokana na viongozi wakuu wa chama hicho kuwa na chuki binafsi dhidi ya zanzibar. Aibu aliyopata katibu mkuu wa chadema alipofanya ziara visiwani humo imechochea viongozi wa chama hicho kuona haja ya kuungana na cuf
kutokana na hali hiyo, maalim seif ametoa msimamo ufuatao ambao anategemea kuuwasilisha kwenye vikao halali vya kiutendaji vya cuf na ambao amesema unaungwa mkono na viongozi wengi wa chama hicho;
- yeye kama katibu mkuu na mtu anayekubalika na kutumainiwa na wazanzibari wengi hatashiriki kikao chochote na chadema kujadili jinsi ya kukwamisha mchakato wa katiba
- yeye kama katibu mkuu hatashiriki ziara iliyotangazwa na chadema ya kuzunguka nchi nzima kwa kile kinachodaiwa kuishtaki serikali ya ccm kwa wananchi
- chadema wameonywa kutojipendekeza kwa cuf na wamekumbushwa msimamo wao kuwa chadema kitasimama kwa miguu yake yoyote na hakihitaji mshirika yeyote katika jambo lolote
nawasilisha
Tunaweza kuwa tunajadili
umbeya maana habari yenyewe inatajwa kuwa 'habari za kuaminika kutoka
vyanzo vinavyoaminika', vyanzo hivyo ni vipi, haviwezi kutajwa ili tujue
kama ni vya kuaminika au hapana? Upuuzi mtupu.
Wakati anawaeleza hayo wewe ulikuwa wapi hadi ukapata fursa ya kupangilia vizuri mawazo yake?