Maalim Seif Hamad apinga CUF kuungana na CHADEMA

Maalim Seif Hamad apinga CUF kuungana na CHADEMA

>Kwani CHADEMA ILIOMBA CUF IWAUNENGE MKONO?

Mkuu, hilo ni swali zuri sana. ilipaswa viongozi wa vyama hivi wote kwa pamoja walipaswa watueleze kiini cha muungano wao na nani hasa alianzisha
 
mh yani watanzania kweli kiboko mnafurahia hata vitu ambavyo wote ilitakiwa tuungane na kuvipinga kwa pamoja hivi katiba ni ya chama au kwahiyo cuf sio watanzania? katiba haiwahusu? hivi kwanini tunakua hivyo halafu wote mnaosapoti swala la huyu -------- linapofika swala la madawa ya kulevya mnakua kimya kama hammo humu huo ni upumbavu
 
uchonganishi at work.
Seif hajawai kusema maneno haya na hawezi kusema hivi na hawezi kutoa tuhuma kama hizi.
Hizi ni njama za maccm na uoga wao.

Warnning

watanzania wana miliki viwanda vya kutengeneza uongo- jk

Mkuu, kama maneno haya unaita ni uchonganishi, hakika watanzania tumepumbazwa vya kutosha
 
nina mashaka na uelewa wake;
1. Kauli ya kusema viongozi wamepewa hela na Chadema ni ya kukera asipoangalia anaweza kukigawa chama

2. Kwa nini ichague viongozi ndiyo wawe wasemaji wa Wazanzibar wote, mbona Tanganyika wananchi wanatoa maoni maoni yao ? Why not Zanzibar?

3. Anasahau kuwa siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu

4. M/kiti wake ni prof. kusema anafanya mambo asiyoyajua ni dalili ya dharau.

5. Chadema wanauwezo mkubwa kujitegemea bila msaada wao- cuf.

6. Kuna jambo lipo nyuma ya pazia hasa tukizingatia msimamo wake juu ya muungano. Kama kweli tunaupenda huu muungano tuwe makini na huyu mtu dhidi ya kauli zake.

Umenena Mkuu... Huyo jamaa hana nidhamu na ni mbinafsi sana. Wakati wenzake wanapigania Uhuru wa kweli yeye anapigania cheo na tumbo lake! Yeye anapotoa misimamo na matamko ni kwa mujibu wa kikao kipi?! Mlafi!
 
Asbh unamwita mwenzio shoga af jioni unamuita rafiki. Janja ya nyani kula hindi bichi
 
Huyo Hamad kakurupuka kutoa tamko wakati hakuna hata chembe ya "Muungano" kati ya CHADEMA na chama chochote cha kisiasa.

Ni hivi Maalim Seif, hoja iliyoko mezani ni suala la mchakato wa kupata katiba mpya (?) Tanzania. Wabunge wana uhuru wa aina mbili; 1) wa kiitikadi (yaani msimamo wa chama chao) na/au 2) wa kibinafsi. Sasa kama CUF(kama chama) hakikuwa na msimamo wa kichama basi ni sahihi kwa wabunge wa CUF kuchagua upande wa kusapoti....hivyo wengine walisapoti CCM na wengine CHADEMA.

Ukame wa fikra na utumwa wa tumbo ni vitu hatari sana kwa kiongozi yeyote yule.
 
Maalim seif amepewa ela na ccm aropoke,kwan ni kweli kuwa tume ya katiba imeenda zanzibar?? Maalm seif amezeeka na anasubir kufa.
Pili,kwan nan kawaambia cuf watoke nje ya bunge siku ile,mbona wao ndo walikuwa wa kwanza kutoka chadema,cuf na nccr wakafata?
Tatu, kwan maalim seif yeye alisubiri nn kutoa tamko mpaka iposikia kuwa cuf,nccr na cdm wanakubaliana kugomea muswada? Mbona walipotoka nje hakupinga?
Nne,inaelekea cuf ni taasis ya kiislam na si chama cha siasa chenye utaaratibu wa kutoa matamko kwa kuwa,mnyekit wake taifa ameunga mkono,katibu wake amepinga,tena anachopinga et ni kuungana,na si kutoka nje ya vikao vya bunge...
Nne,kauli ya kusema kuwa hawataki kuungana na chadema,si sahihi kwa kuwa si chadema tu ndo waliotoka nje,mbona hawaikan nccr mageuz? Na kitendo cha kuwaita vyama vingine vya kikafri maana ake cuf wao ni waislam na wako kwa ajili ya waislam tu wa nchi hii? Ina maana kuwa,chadema wamekosea kuwa ccm na cuf wanawatetea waislam pekee na kuwaacha wakristo na wasio na dini?
Tano,katiba ni ya nan? Ya maalim seif au kikwete,ya cdm au nccr? Kama wanzanzibar wameshirikishwa kweny rasim ya katiba basi cuf wawaunge ccm mkono na si nccr au cdm,na kuwa kama hawajashirikishwa pia wajitoe pia wawaunge mkono ccm kwa kuwa wanaowatetea wazanzibar et ni makafir,ila waislam ccm na cuf wakisema ruksa... Achen ujinga wa udini utawafikisha pabaya sana..
Sita,nawashaur chadema na nccr kuachana na chama kinachowatukana kuwa wao ni makafri,na kuwa wao cdm na nccr wawatetee watanzania..maalim utabaki kuwa wa hovyo mpaka mwisho wako....
Pia kama wbunge wa cuf walipewa ela na cdm,basi pia cuf walipewa ela na ccm kuunda serikali ya umoja wa kitaifa...
Nawaomba cuf mjiondoe kwenye muungano wa cdm na nccr kwan cdm na nccr wataweza kuwatetea watanzania si lazima ninyi muwepo
 
Ila kiukweli nimependa sana msimamo wa huyu mtu. ningeshangaa kama angekubali kuungana na CHADEMA maana kwa kufanya hivyo kungehatarisha serikali ya umoja wa kitaifa ambayo kwa sasa imekuwa imara sana
ulitegemea asemaje kama si hivyo mtu yupo serikalini na analipwa stahiki zote ni lazima aseme kunusuru wewe unafikiri CCM hawajampa maelekezo , mimi sioni ajabu kwa yeye kusema ila atakuwa kawavua nguo wenzake na hapo ndiyo timbwili litakapoanzia . viongozi wa CUF bungeni si wajinga kiasi hicho , wapo kutetea maslahi ya wananchi wao nyie mpo kwa maslahi ya chama chenu kinachowaza muda wote ni namna gani ya kudhibiti wapinzani na kuliacha taifa likiangamia
 
Maalim seif amepewa ela na ccm aropoke,kwan ni kweli kuwa tume ya katiba imeenda zanzibar?? Maalm seif amezeeka na anasubir kufa.
Pili,kwan nan kawaambia cuf watoke nje ya bunge siku ile,mbona wao ndo walikuwa wa kwanza kutoka chadema,cuf na nccr wakafata?
Tatu, kwan maalim seif yeye alisubiri nn kutoa tamko mpaka iposikia kuwa cuf,nccr na cdm wanakubaliana kugomea muswada? Mbona walipotoka nje hakupinga?
Nne,inaelekea cuf ni taasis ya kiislam na si chama cha siasa chenye utaaratibu wa kutoa matamko kwa kuwa,mnyekit wake taifa ameunga mkono,katibu wake amepinga,tena anachopinga et ni kuungana,na si kutoka nje ya vikao vya bunge...
Nne,kauli ya kusema kuwa hawataki kuungana na chadema,si sahihi kwa kuwa si chadema tu ndo waliotoka nje,mbona hawaikan nccr mageuz? Na kitendo cha kuwaita vyama vingine vya kikafri maana ake cuf wao ni waislam na wako kwa ajili ya waislam tu wa nchi hii? Ina maana kuwa,chadema wamekosea kuwa ccm na cuf wanawatetea waislam pekee na kuwaacha wakristo na wasio na dini?
Tano,katiba ni ya nan? Ya maalim seif au kikwete,ya cdm au nccr? Kama wanzanzibar wameshirikishwa kweny rasim ya katiba basi cuf wawaunge ccm mkono na si nccr au cdm,na kuwa kama hawajashirikishwa pia wajitoe pia wawaunge mkono ccm kwa kuwa wanaowatetea wazanzibar et ni makafir,ila waislam ccm na cuf wakisema ruksa... Achen ujinga wa udini utawafikisha pabaya sana..
Sita,nawashaur chadema na nccr kuachana na chama kinachowatukana kuwa wao ni makafri,na kuwa wao cdm na nccr wawatetee watanzania..maalim utabaki kuwa wa hovyo mpaka mwisho wako....
Pia kama wbunge wa cuf walipewa ela na cdm,basi pia cuf walipewa ela na ccm kuunda serikali ya umoja wa kitaifa...
Nawaomba cuf mjiondoe kwenye muungano wa cdm na nccr kwan cdm na nccr wataweza kuwatetea watanzania si lazima ninyi muwepo
 
Kitakachoiua CCM mapema ni UDINI na UKABILA.Rejea Mgawanyo wa Nyadhifa za Wenyeviti na Makatibu wa Makao Makuu na Jumuia zake za UWT,WAZAZI na UVCCM.

tutajie Mgawanyo huo upande wa Chama chenu ili tujue mkisema Udini mna maanisha nini?
 
Ila kiukweli nimependa sana msimamo wa huyu mtu. ningeshangaa kama angekubali kuungana na CHADEMA maana kwa kufanya hivyo kungehatarisha serikali ya umoja wa kitaifa ambayo kwa sasa imekuwa imara sana

yaani mkuu kuungana na machadema ni kukubali kuwa ww ni mmwagia watu tindikali, mlisha watu sumu, muuaji na gaidi
 
Kama ni kweli,Anapotuhumu viongozi wenzake kuwa wamehongwa na CHADEMA kwanini isiwe yeye kuwa amehongwa na CCM?

Yeye haja hongwa na ccm is part of it sababu yupo kwenye serakali ya zanzibar wamekubaliana kuwa kitu kimoja sasa kwanini wamuhonge?huyu mzee mwacheni ndio msimamo wake na ni chama chake kwahiyo wewe chadema tafuta chama labda cha mrema muungane
 
Maalim Seif Hamad, kastuka teh teh teh.
 
nina mashaka na uelewa wake;
1. Kauli ya kusema viongozi wamepewa hela na Chadema ni ya kukera asipoangalia anaweza kukigawa chama

2. Kwa nini ichague viongozi ndiyo wawe wasemaji wa Wazanzibar wote, mbona Tanganyika wananchi wanatoa maoni maoni yao ? Why not Zanzibar?

3. Anasahau kuwa siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu

4. M/kiti wake ni prof. kusema anafanya mambo asiyoyajua ni dalili ya dharau.

5. Chadema wanauwezo mkubwa kujitegemea bila msaada wao- cuf.

6. Kuna jambo lipo nyuma ya pazia hasa tukizingatia msimamo wake juu ya muungano. Kama kweli tunaupenda huu muungano tuwe makini na huyu mtu dhidi ya kauli zake.


kwani nani kawaambia CHADEMA iliwaomba CUF kuungana, hoja zenye ukweli ndizo zilizowafanya wabunge wa zanzibar wenye nia nzuri na nchi yao kuunga mkono msimamo wa CDM>>> na mlitegemea nini kutoka kwa Maalum Seif wakati yeye ni makamu wa Rais na serikali ndiyo iliyowasilisha msuada huo?
 
Mkuu, kama maneno haya unaita ni uchonganishi, hakika watanzania tumepumbazwa vya kutosha

na kuhakikishia haya maneno yametoka kiwandani kabisa na si ya seif. time will tell.
 
Swig Ana ving'ora siku hizi. Kuweni Makini nae hasa viongozi wa CUF bars. Sio mwenzenu tena. Ninachoamini ni kwamba CHADEMA wanauwezo wa kusimamia like wanachoamini wenyewe bila kushilikiana na chama kingine. Pili kushilikisha vyama vingine ni kuonyesha jinsi gani ccm wanaburuga mambo. Na hata siku mbowe anatolewa nje ya bunge niliona wabunge wa NCCR Wako mbele kupinga swala lililotokea.
 
Ashalewa madaraka huyo.,CCM walioiita CUF magaidi mbona alikubali kuungana nayo???Aache kutucheleshea ukoombozi na hoja za kinunda.Pambaf.
 
Back
Top Bottom