minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Waajabu kisa wamekataa wewe kununuliwa na kusahau roho za watu waliokufa huko Zanzibar?Chadema watu wa ajabu sana!
Waajabu kisa wamekataa wewe kununuliwa na kusahau roho za watu waliokufa huko Zanzibar?Chadema watu wa ajabu sana!
Babu Safari hii kala cash dola milion 5 na dalali ni polepole kwa kushirikiana na Zito, Zanzibar imeingia kwenye soko la biashara haramu ya siasa2015 mbona alisusa hadi kwenye msiba wa Jumbe akakataa kumpa Shein mkono.
Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi Tundu lisu angefikaje Belgium kwa Amsterdam? huoni kuwa mipango ya hovyo ya mbuzi jike ndiyo inamwamsha Beberu?Kwanini usiseme mabavu ya wananchi..kwa sababu wao ndio wapiga kura na wananchi walifanya maamuzi sahihi kabisa...achana na upinzani huu matopolo huu..Bora waje wapya...na wenye mwelekeo wa busara..lakin sio huu wa kutumwa na kina Amsterdam na mabeberu wenzie..shwainnny
Zanzibar wote ni wahamiaji tu tokea comoro Tanganyika mombasa kenya na Uganda akina okelo, Tatizo la Zanzibar ni Tatizo la TanganyikaUmesema nazungumza kama mzanzibari wakati mimi ni mzanzibara. Mzanzibari na mzanzibara wote ni watu wa Zanzibar kitu ambacho sijawahi kuwa. Mimi ni proudly Chogo yaani mtu Tanzania Bara ambae sina uhusiano wowote na Zanzibar.
Amandla...
Wewe ndiyo umekaririshwa upuuzi wa kumsifu na kumuabudu binadamu. Unataka kuniambia kuwa ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa imeacha majukumu yake ya kikatiba na sasa inasajili saccos? Kuwa na adabu. Mimi siyo aina ya hao walionunuliwa kwa njaa zao.Daa we jamaa umekaririshwa sijui na Nani..anyway iko siku utafunguka macho Kama viongozi wako walioenda kuunga juhudi kwa JPM walivyostuka mapema...usidhan Wao Ni wajinga...tena viongozi waandamizi Sasa ije iwe wewe jomba mshabiki tu na hata kadi ya chama huna..wewe huna uchungu wowote no ushabiki tu unaendesha..hahaha..vyama vyenyewe vilishapoteza sura ya uchama vimegeuka kuwa Sacco's...na wewe unajua na unaona..lakini unafumbia macho unaona aibu kusema ukweli...Sasa bila kusema ukweli vitabadilika vipi...embu uwe mzalendo basi at least for once..
Mwaka 2001,ulikuwa hujaja mjini,inasadikiwa waliuawa watu 20 Pemba baada ya kumchinja askari polisi,lakin 2010 kafu waliingia serikalini,nyie chadema ni wanaharakati uchwara,hamjui siasaWaajabu kisa wamekataa wewe kununuliwa na kusahau roho za watu waliokufa huko Zanzibar?
CCM ni viumbe vya ajabu sanaChadema watu wa ajabu sana!
Maalim hawez kuwa msaliti, msaliti ni kina halima mdee na Tundu lissu sasa yuko belgium anakula kuku na Lema canada nafamilia yakeMaalimu tayari keshaingia CCM anashiriki nao meza moja
Chochote atakacho ongea from now on lazima maCCM yachukue na kukimbia nacho kama anavyofanya mwanaCCM Yehodaya now!
Sasa hivi ni CCM+ACT >>> Chadema!
Hakuna tofauti kati ya CUF na ACT now!
Mwami naye kavuta the same amount. Wajinga ndiyo waliwaoBabu Safari hii kala cash dola milion 5 na dalali ni polepole kwa kushirikiana na Zito, Zanzibar imeingia kwenye soko la biashara haramu ya siasa
Vipi kuhusu Halima mdee na Tundu lissu na Lema kula kuku kule ulaya, kibanz kwenye jicho la mwenzako lakini boriti imekuchopea kwenye jicho lakoMaalum seif kalewa madaraka hata week bado ngoja laana za waliodhurumiwa kura zimwandame atajutia njaa zake
Unanifahamu?Kwa hiyo unamtukana nani sasa wakati wewe mwenyewe ni sehemu ya hii nchi au unafikiri Dunia inakuona wewe ni Muzungu ?
Low IQ !
Unanifahamu?
Yesu ni Bwana
Msikilize mwenyewe
Wewe mzaliwa wa mjini Mbona hujawahi kuingia ikulu huna nyumba Oyestabay? Wamiliki wa pesa matajiri wakubwa siyo wazaliwa wa mjini ni wakuja Tambua wa kuja sasa ndiyo waziri wa fedha madini na wizara zote nyeti, acha ushamba wako kuja mjini mapema siyo kutokuwa uchwara kama wewe, kuja mjini mapema huishia kuwa machinga na muuza magazeti, CCM mnasaka uteuzi uchwara hadi mmejitoa fahamu zoteMwaka 2001,ulikuwa hujaja mjini,inasadikiwa waliuawa watu 20 Pemba baada ya kumchinja askari polisi,lakin 2010 kafu waliingia serikalini,nyie chadema ni wanaharakati uchwara,hamjui siasa
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi,unyumbu ni kusahau mateso yaliyowapata wazanzibar na kuendekeza njaa binafsiMaalim ni mtu mwenye hekima kubwa sana hauwezi kuwafananisha na nyumbu wa ufipa.
Bora umekubali kuwa mi wa kuja hujui chochote,unadandia treni kwa mbeleWewe mzaliwa wa mjini Mbona hujawahi kuingia ikulu huna nyumba Oyestabay? Wamiliki wa pesa matajiri wakubwa siyo wazaliwa wa mjini ni wakuja Tambua wa kuja sasa ndiyo waziri wa fedha madini na wizara zote nyeti, acha ushamba wako kuja mjini mapema siyo kutokuwa uchwara kama wewe, kuja mjini mapema huishia kuwa machinga na muuza magazeti, CCM mnasaka uteuzi uchwara hadi mmejitoa fahamu zote
Mmempiga wenyewe huko chadema, alikuwa anataka uenyekiti ambayo ni nafasi ya milele ya DJ.Bila wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium? Huoni kuwa wewe ndiyo Tatizo? au umesahau kuwa unyanyasaji uonevu mateso yako vitisho vyako ndivyo vimemfanya Lisu kuwapo huko?
CHADEMA ni matapeli ya kisiasa