Maajabu ya wilaya ya Rombo-Kilimanjaro

Maajabu ya wilaya ya Rombo-Kilimanjaro

Wilaya ya rombo ndio wilaya yenye wanaume wenye huruma sana hadi kufikia kuruhusu wanawake wao kuchukuliwa na wakenya
 
watu wanakimbia Moshi, naona wababaki wazee na wanafunzi
Hata Moshi imekuwa sio vibrant tena kama ilivyokuwa miaka ile
Hata ukienda kanisani, makanisa hayajai tena kama zamani sababu watu wachache
 
MTOA MADA NADHANI HUIJUI ROMBO
ROMBO INA MAENDELEO MAKUBWA
KULE HAKUNA NYUMBA ZA NYASI HATA MOJA
BARABARA HADI VIJIJIN ZINAPITIKA
KIJANI MDA WOTE
ROMBO INA HOSPITALI ZA WILAYA 2 MOJA HURUMA
NYINGINE INAITWA KARUME MPYA IPO USSERI
INA KITUO CHA AFYA KIMOJA CHA KENI
KILA KATA INA ZAHANATI
NA SASA TUNA MPANGO KILA KIJIJI KUWE NA ZAHANATI
PIA KILA KATA INA SHULE 2 ZA SEKONDARI
SHULE ZA KATA ZA SEKONDARI N ZA KISASA ZINA HADI GOROFA MFANO KENI SEC
SHULE NYYINGI ZA KATA 80% PIA ZINA UMEME MFANO MAHIDA
 
Bila kusahau kuwa kirombo ni kama KIJERUMANI, karibuni kila neno linaanzia na herufi V , vasheku , vashiiki, vaenda, veeshaa vadholya,volkswagen,kiufupi warombo ni wajerumani weusi
mkuu nimefurahishwa na id yako mamaya, "sikeloda ngasikuva"
 
Huyu Mushi atakuwa wa Kishumundu aisee, Kaja Rombo amefungiwa banda la Mkaa Halafu anaandika anachokiona humo. We jombaa Vp? Au ulidanganywa eti warombo walevi na masistaa wa uku wanagawa bure?

Acha kuichafua Rombo aroo.
 
Hivi na lile tattizo la Wanawake wa Rombo kukimbilia Kenya kutafuta wanaume wakuwazalisha kisa eti wa Rombo Virox vimewakata hamu.....
Limeishia wapi atiiiiii[emoji16] [emoji16]
 
Nilichogundua ukiwa rombo unaweza kwenda sehemu yoyote ya Tanzania kwa root hizi na hii ndio faida ya miundombinu.
1. Rombo Dar es salaam Kupitia Marangu

Dar express

Kilimanjaro express

Metro Coach

Meridian

Saibaba

Tilisho Express

Etra VIP

Longela

Chief Abiola

Esta

2.Rombo-Mwanza via Singida Shinyanga Mwanza

Royal Coach

Mgamba

3.Rombo Dodoma via Singida

Shabiby

Champion

Mtei

3.Rombo Karatu

Lakrome

Tilisho

4. Rombo Moshi Arusha

Coaster

Hiace

Noah

5.Nairobi-Rombo-Taveta Kenya

Naekana Sacco
 
Ila kama mtu una stress fika Rombo, Machame na Marangu...the places are simply romantic; kuna maeneo Mungu aliamua kuyabariki... Nilikuepo Marangu na Rombo majuzi nikatamani kuoa kabisa huko,kuzuri mno wakuu!
Nasikia Kama sio wa huko watakuita Chasaka ukioa huko au wameacha.Nilikuta binti mmoja wa kimachame akaniambia nikitaka kumwoa lazima niwe na Landcruiser Prado sio kabati la mbeo kama zamani.
 
Nasikia Kama sio wa huko watakuita Chasaka ukioa huko au wameacha.Nilikuta binti mmoja wa kimachame akaniambia nikitaka kumwoa lazima niwe na Landcruiser Prado sio kabati la mbeo kama zamani.
Kuita wengine chasaka, Mambo ya zamani hayo, watu wa kule wanachangamana na yoyote ili mradi usiwe mzinguaji tu, kati ya watu wenye ukabila warombo usiwahesabie kabisa, kuna baadhi ya wilaya Tanzania wanaongea kilugha masaa yote na hawajichanganyi na watu wasio wa kabila lao
 
Dah, nimepamis home sweet sweet home, nimezaliwa Dar, nimesomea Dar, nimeanzia kazi dar,Kwa sasa nipo mwanza,
Nyumbani kwangu original ni katangara. Nategemea kuibuka inshalal Mungu atabariki Januari 2017 on leave
 
Kuita wengine chasaka, Mambo ya zamani hayo, watu wa kule wanachangamana na yoyote ili mradi usiwe mzinguaji tu, kati ya watu wenye ukabila warombo usiwahesabie kabisa, kuna baadhi ya wilaya Tanzania wanaongea kilugha masaa yote na hawajichanganyi na watu wasio wa kabila lao
Umeninukuu tofauti,niliandika ''nasikia'' na sikumanisha ndivyo ilivyo,by the way wakati mwingine jf usiamini kila kitu.
 
Back
Top Bottom