Maajabu ya wilaya ya Rombo-Kilimanjaro

Maajabu ya wilaya ya Rombo-Kilimanjaro

Rombo imeendelea sana ,yani mm nimetembea sana hapa tz hasa vijijini naweza kukupa ushuhuda kuwa Rombo hakuna hata nyumba yanyasi na kama ipo imeachwa kama kumbukumbu tu ya wanafamilia,sasa Rombo unayoisema wewe ni ya Kenya mana Kenya kuna Rombo pia,tatizo Rombo ni maji hasa ukanda wa mashariki ,ila shule zipo nzuri kuliko hapa dar,pia kila mtaa unapitika tena kwa gari na kila familia kuna njia ya kwenda hm kwa gari,sio dar gari inalazwa ccm
UMEJIBU VEMA. MIMI ROMBO NIMEKUWA NA NIMESOMA. JAMAA KAPOTOSHA MADA. UMEME TELE, BARABARA TELE, MAJI NI MENGI MPAKA TUNAMWAGILIA NYASI, NYUMBA NZURI, HOSPITALI ZIPO NA ZAHANATI. LABDA NITAJE BAADHI YA HOSPITALI KUBWA HURUMA HOSPITAL, NGOYONI, KARUME HEALTH CENTER, TARAKEA HEALTH CENTER, TARAKEA DISPENSARY, UBETU DISPENSARY NA NYINGINEZO NYINGI. TENA ZINATIBU HATA WAKENYA. ILA KWELI BIDHAA NYINGI TUNATOA KENYA NA MAZAO PIA TUNAPELEKA KENYA. VITUO VYA POLISI NI VINGI NA VIZURI LICHA YA KUWA NI VYA ZAMANI. GEREZA LIPO LA IBUKONI NA NI ZURI SANA. SHULE ZIMEJAA KUANZIA PRIMARY MPAKA SEKONDARI. MAKANISA MAKUBWA KAMA MAHEKALU YA JERUSALEMU. VYAKULA TELE NA MATAJIRI NI WENGI. ARDHI YENYE RUTUBA NA MVUA ZA WASTANI. KUBWA ZAIDI TUPO CHINI YA THE WORLD HITORICAL CENTER(THE KILIMANJARO MOUNTAIN)
 
MIMI ROMBO NIMEKUWA NA NIMESOMA. JAMAA KAPOTOSHA MADA. UMEME TELE, BARABARA TELE, MAJI NI MENGI MPAKA TUNAMWAGILIA NYASI, NYUMBA NZURI, HOSPITALI ZIPO NA ZAHANATI. LABDA NITAJE BAADHI YA HOSPITALI KUBWA HURUMA HOSPITAL, NGOYONI, KARUME HEALTH CENTER, TARAKEA HEALTH CENTER, TARAKEA DISPENSARY, UBETU DISPENSARY NA NYINGINEZO NYINGI. TENA ZINATIBU HATA WAKENYA. ILA KWELI BIDHAA NYINGI TUNATOA KENYA NA MAZAO PIA TUNAPELEKA KENYA. VITUO VYA POLISI NI VINGI NA VIZURI LICHA YA KUWA NI VYA ZAMANI. GEREZA LIPO LA IBUKONI NA NI ZURI SANA. SHULE ZIMEJAA KUANZIA PRIMARY MPAKA SEKONDARI. MAKANISA MAKUBWA KAMA MAHEKALU YA JERUSALEMU. VYAKULA TELE NA MATAJIRI NI WENGI. ARDHI YENYE RUTUBA NA MVUA ZA WASTANI. KUBWA ZAIDI TUPO CHINI YA THE WORLD HITORICAL CENTER(THE KILIMANJARO MOUNTAIN)
 
Ndio tuliambiwa wanavuka mpaka kuwafuata akina nonino sababu njemba zetu zinalewa tu
 
hii wilaya ina magarimengi yanayofanya safari zake kwenda mikoa mingine nadhani kuliko mikoa mingine yote
mabasi yanafanya safari zake kwenda dar ni kma
  1. Dar espress
  2. Tilisho
  3. Wakati express
  4. Saibaba
  5. Longera
  6. Meridian
  7. esther express
  8. wengine ongezeni
Ndeng'aso
 
Arusha me huwa sioni tofauti na Moshi kabisa sababu idadi ya wachagga pale Arusha inazidi idadi ya wachagga waliopo Moshi mpaka Manyara Singida Dodoma kote huko wachagga wametapakaa niliingia visiwani ndani kwenye wilaya fulani ya Buchosa Mwanza nilipigwa na butwaa kuwakuta wachagga huko wanafanya Biashara ya Samaki na dagaa visiwa vyote.
Ndio manake Shabiby anabus la kutoka Tarakea Rombo Mpaka Dodoma na Mgamba akaenda mbali zaidi kwa kuweka bus linaloanzia Mwanza-Shinyanga-Singida-Manyara-Arusha-Moshi-Rombo Tarakea kwa sasa hivi root ya Dar-Rombo mabus yapo mengi mno.
 
Back
Top Bottom