lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,168
- 33,428
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.
Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.
Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.
CHADEMA na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.
Ndio mgombea anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.
Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.
Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.
Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.
Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.
Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.
Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.
Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.
Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.
Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.
Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.
Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.
Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.
CHADEMA na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.
Ndio mgombea anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.
Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.
Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.
Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.
Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.
Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.
Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.
Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.
Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.
Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.
Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.
Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.