Maajabu ya undu Lissu na CHADEMA yake

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,168
33,428
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.

Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.

Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.

CHADEMA na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.

Ndio mgombea anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.

Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.

Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.

Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.

Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.

Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.

Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.

Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.

Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.

Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.

Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.

Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
 
Lissu ni kama Mfalme Daudi ndugu!! Ni Mpango halisi wa Mungu juu ya kuwakomboa Watanzania na udhalimu.

Mungu aendelee kumsimamia, kumlinda na kumbariki mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amshindiye pia uchaguzi wa mwaka huu na kumfanya awe raisi wetu 2020 - 2025 kwa Jina la Yesu!
 
Hahaha najua unatamani iwe hivyo, huu Uchaguzi kijani imetamalaki kila kona ya mtaa

Zile jezi mbaya za Chadema makamanda wanavaa kwa kujificha ficha
Mtaaa gani maana na huku mtaaani kuna zomeazo ikivaa majani mabichi
 
Wana CCM wanatambua kabisa Tundu Lissu anakubalika na kuungwa mkono na wananchi wengi sana huku Tanganyika. Ni sawa kabisa na Maalim Seif kwa kule Zanzibar. Mpaka sasa wanatambua kura ya maoni inaonyesha endapo uchaguzi ungalifanyika leo hii angepata ushindi wa 65% huku akifuatiwa kwa mbali na Rais anayemaliza muda wake akiwa na 28% na wagombea wengine waliobakia wakigawana 7%
 
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.
...
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.

Lissu ni kama Mfalme Daudi ndugu!! Ni Mpango halisi wa Mungu juu ya kuwakomboa Watanzania na udhalimu.

Mungu aendelee kumsimamia, kumlinda na kumbariki mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amshindiye pia uchaguzi wa mwaka huu na kumfanya awe raisi wetu 2020 - 2025 kwa Jina la Yesu!

Kweli ni MAAJABU ya LISSU na ni kama mfalme, kwa lugha yako Lord denning na wengineo upande wake Lissu, kwamba:-
• kwa watu kuhudhuria mikutano ya YAKE kuona na kusikiliza Vioja, jinsi alivyo bingwa wa kuwadharilisha viongozi wa Serikali, hasa Rais Magufuli na watumishi wa Mungu, badala ya Hoja; na
• kuongelea nadharia za kisomi badala ya kuwaeleza wapiga kura jinsi gani ya kuondokana na masikini au Serikali yake itapata fedha ili afanye hayo anayoahidi kama vile bima kwa wote, kupunguza kodi, kugharamia mchakato wa Katiba mpya, wakati huo huo akiboresha huduma za jamii (afya, elimu, maji nk), na kuendesha Serikali, nk.

Je, ni kweli, kwa majigambo yake, nchi hii haiwezi kujitegemea pasipo mjomba wa nje? Kwa maana hiyo, akipewa ridhaa ya kuongoza nchi hii, mategemeo yake ni wajomba zake wa nje kuendesha Serikali na kugharamia miradi ya maendeleo? Au kwa jinsi anavyobeza miradi hiyo, akiita maendeleo ya vitu na "white elephant" ataweka pembeni?

Kwamba, anaishi kinadharia kutokujua uhusiano wa miradi ya maendeleo na maisha ya kila siku ya mwananchi! Kwa maana ya kuwepo huduma bora za jamii na za kutosheleza, miundombinu bora na imara ya usafiri, nishati ya umeme unaotosheleza na wa bei nafuu, nk?

Sasa naamini ndiyo maana Lissu hana lolote la kukumbukwa kama kiongozi wa kisiasa na mwanaharati wa miaka mingi, tangu utawala wa Baba wa Taifa aliyekuwa akimtukana ati leo hii anamsifia. Kwa mfano:
√ Jimbo lake alilokuwa mbunge kwa zaidi ya miaka kumi ni moja ya majimbo maskini kabisa; na
√ akiwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, hakuweza kushawishi viongozi wenzake wa chama kujenga japo ofisi ya Makao Makuu, wakati wanapata ruzuku na wabunge wao wakichangia kila mwezi.

Bila kumung'unya maneno, na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Lissu, hakika atakuwa Kiongozi wa nchi wa ajabu kabisa kutokea katika dunia hii, akipewa ridhaa. Bahati mbaya kwake aendelee kuishi katika ndoto hiyo tu.
 
Kweli ni MAAJABU ya LISSU na ni kama mfalme, kwa lugha yako Lord denning na wengineo upande wake Lissu, kwamba:-
• kwa watu kuhudhuria mikutano ya YAKE kuona na kusikiliza Vioja, jinsi alivyo bingwa wa kuwadharilisha viongozi wa Serikali, hasa Rais Magufuli na watumishi wa Mungu, badala ya Hoja; na
• kuongelea nadharia za kisomi badala ya kuwaeleza wapiga kura jinsi gani ya kuondokana na masikini au Serikali yake itapata fedha ili afanye hayo anayoahidi kama vile bima kwa wote, kupunguza kodi, kugharamia mchakato wa Katiba mpya, wakati huo huo akiboresha huduma za jamii (afya, elimu, maji nk), na kuendesha Serikali, nk.

Je, ni kweli, kwa majigambo yake, nchi hii haiwezi kujitegemea pasipo mjomba wa nje? Kwa maana hiyo, akipewa ridhaa ya kuongoza nchi hii, mategemeo yake ni wajomba zake wa nje kuendesha Serikali na kugharamia miradi ya maendeleo? Au kwa jinsi anavyobeza miradi hiyo, akiita maendeleo ya vitu na "white elephant" ataweka pembeni?

Kwamba, anaishi kinadharia kutokujua uhusiano wa miradi ya maendeleo na maisha ya kila siku ya mwananchi! Kwa maana ya kuwepo huduma bora za jamii na za kutosheleza, miundombinu bora na imara ya usafiri, nishati ya umeme unaotosheleza na wa bei nafuu, nk?

Sasa naamini ndiyo maana Lissu hana lolote la kukumbukwa kama kiongozi wa kisiasa na mwanaharati wa miaka mingi, tangu utawala wa Baba wa Taifa aliyekuwa akimtukana ati leo hii anamsifia. Kwa mfano:
√ Jimbo lake alilokuwa mbunge kwa zaidi ya miaka kumi ni moja ya majimbo maskini kabisa; na
√ akiwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, hakuweza kushawishi viongozi wenzake wa chama kujenga japo ofisi ya Makao Makuu, wakati wanapata ruzuku na wabunge wao wakichangia kila mwezi.

Bila kumung'unya maneno, na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Lissu, hakika atakuwa Kiongozi wa nchi wa ajabu kabisa kutokea katika dunia hii, akipewa ridhaa. Bahati mbaya kwake aendelee kuishi katika ndoto hiyo tu.
Hueleweki binti
 
Sawa
Screenshot_20200913-102305.jpg
 
Kweli ni MAAJABU ya LISSU na ni kama mfalme, kwa lugha yako Lord denning na wengineo upande wake Lissu, kwamba:-
• kwa watu kuhudhuria mikutano ya YAKE kuona na kusikiliza Vioja, jinsi alivyo bingwa wa kuwadharilisha viongozi wa Serikali, hasa Rais Magufuli na watumishi wa Mungu, badala ya Hoja; na
• kuongelea nadharia za kisomi badala ya kuwaeleza wapiga kura jinsi gani ya kuondokana na masikini au Serikali yake itapata fedha ili afanye hayo anayoahidi kama vile bima kwa wote, kupunguza kodi, kugharamia mchakato wa Katiba mpya, wakati huo huo akiboresha huduma za jamii (afya, elimu, maji nk), na kuendesha Serikali, nk.

Je, ni kweli, kwa majigambo yake, nchi hii haiwezi kujitegemea pasipo mjomba wa nje? Kwa maana hiyo, akipewa ridhaa ya kuongoza nchi hii, mategemeo yake ni wajomba zake wa nje kuendesha Serikali na kugharamia miradi ya maendeleo? Au kwa jinsi anavyobeza miradi hiyo, akiita maendeleo ya vitu na "white elephant" ataweka pembeni?

Kwamba, anaishi kinadharia kutokujua uhusiano wa miradi ya maendeleo na maisha ya kila siku ya mwananchi! Kwa maana ya kuwepo huduma bora za jamii na za kutosheleza, miundombinu bora na imara ya usafiri, nishati ya umeme unaotosheleza na wa bei nafuu, nk?

Sasa naamini ndiyo maana Lissu hana lolote la kukumbukwa kama kiongozi wa kisiasa na mwanaharati wa miaka mingi, tangu utawala wa Baba wa Taifa aliyekuwa akimtukana ati leo hii anamsifia. Kwa mfano:
√ Jimbo lake alilokuwa mbunge kwa zaidi ya miaka kumi ni moja ya majimbo maskini kabisa; na
√ akiwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, hakuweza kushawishi viongozi wenzake wa chama kujenga japo ofisi ya Makao Makuu, wakati wanapata ruzuku na wabunge wao wakichangia kila mwezi.

Bila kumung'unya maneno, na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Lissu, hakika atakuwa Kiongozi wa nchi wa ajabu kabisa kutokea katika dunia hii, akipewa ridhaa. Bahati mbaya kwake aendelee kuishi katika ndoto hiyo tu.
Ccm mtaita maji mmaaaa mwaka huu!! Lissu ameeleweka na watanzania na watanzania kwa sauti moja Tuko tayari kuhakikisha anakuwa Raisi wetu 2020 - 2025
 
Kuna Mambo ya ajabu nimeyashuhudia na ninaendelea juu ya huyu Lissu na Chadema yake.

Habari zake za kampeni zilikua zinahujumiwa na baadhi ya Vyombo vya habari zisitoke au kupungua umuhimu,lakini zinatoka.na watu wanahudhuria mikutano yake.

Sijaona bango hata moja la Lissu lakini watu wanafurika kwenye mikutano yake.

Chadema na Lissu hawana hell ya kutisha ya kampeni Kama CCM,lakini watu wanawachangia na kwenda kwa wingi mikutano yake.

Ndio mgombe anaepewa muda mrefu kuhutubia,lakini watu huwa hawachoki kumsikiliza,Ana akimaliza watu hutamani aendeleee kuhutubia.

Wahudhuriaji wa mikutano yake hutulia kumsikiliza Kama vile wapo darasani.

Ndio mgombea pekee Usalama wake uko mashakani.

Ndio mgombea pekee kampeni zake zinafatiliwa kwa umakini kabisa hapa EA a kwingine.

Ndio mgombea pekee anaechunguzwa au kufuataliwa kwa Siri na hadharani na majasusi.

Ndio mgombea pekee mikutano yake watu wana shamrashamra Sana wakati hawana pesa mifukoni,wala Hakuna wasanii isipokua timu yake inatembea na flashi ya nyimbo tu.

Idadi ya wahudhuriaji wa mikutano yake Ni halisi,Hakuna wasanii,hawajaletwa kwa maloli au mabasi.
Tofauti na Wahudhuriaji wa Lowassa.lowassa alikuja na wana CCM,Wana CUF,Wana NCCR,Wana NLD na CDM wenyewe.
Kwa kifupi Lowassa alibebwa na UKAWA.
Lisu Ni Jeshi la mtu mmoja.

Ndio mgombea pekee watu walikua na hofu huenda asipitishwe na NEC.

Ndio mgombea pekee anakabiliana na mpinzani mwenye nguvu kubwa lakini hawezekani.
CCM inatumia nguvu kubwa Sana kumkabili Lisu.
Pesa,Dola,Mahakama,Polisi,TISS,Jeshi,waganga.mamlaka ya anga,wadukuzi.

Anawaeleza watu machungu yake na Yao,anawaeleza makosa ya mtawala wa Sasa na anaeleza yeye atafanya nini.

Ndio mgombea ambae VIONGOZi wa serikali na CCm wanafuatilia hotuba zake kwa Siri Sana na zinawasisimua.

Lisu ndio mgombea aliewekewa vihunzi vingi Sana na amekua akivivuka,kesi,kifo,kuenguliwa,kutotangazwa tiviini,redioni na magazetini.
Na dalili zinaonesha atashinda lakini kutangazwa ushindi wake itakua mbinde,
Watabana kwa siku kadhaa lakini wanamtangaza tu.kwa sababu inaonesha jamaa Ni mtu wa kuvuka kwa taabu Sana.
Akitangazwa utatokea mlipuko mkubwa Sana wa furaha hapa Tanzania na Afrika mashariki.
Miongoni mwa watakaofurhi Sana Ni pamoja VIONGOZi wa serikali na makada wa CCM kwa uwingi wao.hamtaamini.
Kama ndio hivyo basi mwambieni aende akamsaidie mwenyekiti wake Mbowe jimboni kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom