Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 356
Kuna tofauti kubwa sana kati majukwaa anayotumia Lissu na Mbowe je kuna ubaguzi….? Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa chama lakini mikutano yake imekuwa haiandaliwi kwa hadhi pengine kukosa watu kabisa.
Chadema kuna Mgogoro wa ndani kwa ndani huenda wenyewe wanamcheka tazama picha za majukwaa ya Lissu ni uthibitisho tosha wamemtenga aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Urais 2020.
Siku ya Jana Lissu alifika Ilola Ngula mkutano wake ulikosa watu kabisa kiasi cha kumfanya ageuze na kuelekea sehemu nyingine kutafuta watu kifupi amekuwa kama ana tangatanga asijue anaelekea wapi kufanya mikutano.
Chadema kuna Mgogoro wa ndani kwa ndani huenda wenyewe wanamcheka tazama picha za majukwaa ya Lissu ni uthibitisho tosha wamemtenga aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Urais 2020.
Siku ya Jana Lissu alifika Ilola Ngula mkutano wake ulikosa watu kabisa kiasi cha kumfanya ageuze na kuelekea sehemu nyingine kutafuta watu kifupi amekuwa kama ana tangatanga asijue anaelekea wapi kufanya mikutano.