Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,721
- 6,592
Leo katangulia mbele za hakiBila Shaka unamzungumzia moudy physics... Mchikichin hiyo aise pale tumepitia wengi
Leo katangulia mbele za hakiBila Shaka unamzungumzia moudy physics... Mchikichin hiyo aise pale tumepitia wengi
Kwa hiyo hamna rangi nyeusi?BujiBuji, weusi si rangi bali ni 'hali'. Infact hakuna kitu kama rangi nyeusi hapa duniani, kwanini nasema haya?!
Ili rangi iwe rangi inabidi iwe na uwezo wa kutoa mwanga wa rangi husika, mfano utakuta kuna taa zinazotoa mwanga wa bluu, 'orange', kijani n.k, lakini hatakuta taa inayota mwanga mweusi!
Weusi ni hali ya kushindwa ku-reflect/kuakisi rangi yoyote ile kati ya zile rangi milioni takrian 7 zilizopo kwenye mwanga mweupe, na badala yake huzinyonya rangi hizo zote na kuacha hali ya giza kwenye eneo husika, ambapo wewe umeamua kuita ni 'rangi nyeusi', lakini neno sahihi ni 'hali ya weusi'...!
Kitu cha bluu hunyonya rangi zote zilizo kwenye mwanga mweupe na kuakisi/ku-reflect rangi moja tu ambayo ni rangi ya bluu.., hali kadhalika kwa rangi zingine zote.., lakini vitu vyenye hali ya weusi havina uwezo huo!
Umeshawahi kuona taa za mwanga mweusi klabu au popote pale? Weusi si rangi bali ni ukosefu wa rangi. Kila rangi lazima iweze kutoa mwanga wa rangi husika, umeshawahickuona mwanga mweusi?Kwa hiyo hamna rangi nyeusi?
Siongelei mwanga, naongelea rangi, mathalan za magariUmeshawahi kuona taa za mwanga mweusi klabu au popote pale? Weusi si rangi bali ni ukosefu wa rangi
Kinachopakwa kwenye magari, ni kimiminika chenye ukosefu wa rangi. Hakuna rangi nyeusi.Siongelei mwanga, naongelea rangi, mathalan za magari
Colorless ni nini?Kinachopakwa kwenye magari, ni kimiminika chenye ukosefu wa rangi. Hakuna rangi nyeusi.
Kitu cheusi kinanyonya mwanga wa rangi zote na kuacha hali ya giza, hivyo hapawezi kuwa na mwanga mweusi, mfano ndani ya chumba chenye giza kabisa pasipo mwanga wowote, ukawasha tochi ya mwanga mweusi, utaona mwanga wowote?Kuna mahala mtandaoni kama sijasahu youtube niliona ugunduzi wa bulb zinazo zalisha mwanga mweusi! Uzi wa 2015 ila hili ninaloongela nila juzi juzi tu hapa sikutilia maanani sana hiyo clip ila nakumbuka nilisha wahi ona
Tofautisha ‘clear’ na ‘colorless’ , maji ni clear , ila kitu kisicho na rangi ni ‘colorless’, although watu hutumia hayo maneno mawili interchangeably kimakosa. Ndio maana maji ya bahari unaweza kuona yakiwa na rangi ya blue, muda mwingine , silver nk.Colorless ni nini?
rangi nyeusi
_ Black means absence of light.Kuna mahala mtandaoni kama sijasahu youtube niliona ugunduzi wa bulb zinazo zalisha mwanga mweusi! Uzi wa 2015 ila hili ninaloongela nila juzi juzi tu hapa sikutilia maanani sana hiyo clip ila nakumbuka nilisha wahi ona
Hakuna namna yeyote unayoweza kuongelea rangi bila kuongelea mwanga.Siongelei mwanga, naongelea rangi, mathalan za magari
Clear! Na mimi ndivyo ninavyo fahamu, ila huyo mvumbuzi wa bulb ndio kanichanganya_ Black means absence of light.
_ Color is not a physical entity, its just an illusion (brain made) nikimaanisha hakuna kitu kinachoitwa rangi nje ya ubongo wa mwanadamu.
_ What exists is light, rangi ni kama ishara au namna ambayo ubongo utambua mwanga.
_ Ubongo wa mwanadamu ume-evolve to the point unaweza kutofautisha mwanga unaowasili machoni. And this is mainly for survival.
Hakuna namna yeyote unayoweza kuongelea rangi bila kuongelea mwanga.
Kwa binadamu rangi ni matokeo au tafsiri ya mwanga, kama ambavyo ubongo hutafsiri sauti.
Mwanaume Mpaka umri huu hujui neno Hongeradah ongera kwa kunifahamisha