BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,671
- Thread starter
- #41
Dunia hii ina mambo mengi mkuuHiyo story ni ya kitambo na nimeisoma, shida inakuja kwenye marubani hawaelezei kuwa iliongozwa na skeleton au mtu mzima
Sasa mimi wameniacha njiapanda ila nachosubiri Mungu akinipa maisha marefu ni hili la Malaysian airline maana nalo ni myth yawezekana zinatekwa then baada ya mda flani wanaziachia maana hii ya Malaysia inasemekana ilipopoteza mawasiliano ilikua karibu na USA military base ufukweni mwa bahari.