Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,389
- 1,898
Ila na sisi wanaume tukiamuaga kuwanyoosha mbona wanapiga saluti...



Karibu mpaka chumbani my dear Jaluo![]()
![]()
![]()
umenifurahisha sana ma dear
Kuna mmoja yule aliyejiuwa baada ya kuchoma maduka kule Arusha...Hapana chezea nguvu ya mwanamke
Kwa ihali bira mtutuu wala kuombwa11 Anakula na pesa yangu
Alijiua kisa nini?Kuna mmoja yule aliyejiuwa baada ya kuchoma maduka kule Arusha...
Aaa wapi!!!!Ila na sisi wanaume tukiamuaga kuwanyoosha mbona wanapiga saluti...![]()
![]()
![]()
hahahaaaaa11 Anakula na pesa yangu
God made a woman from a crooked rib, if a man tries to straighten it he surely breaks itmpaka Mungu akaonya kwa kusema "enyi wanaume ishini kwa akili na wake zenu" inamaana apo alikujulisha kua mwanamke ni bright kuliko wewe mwanaume.
Bright kwa lipi wanalofanyampaka Mungu akaonya kwa kusema "enyi wanaume ishini kwa akili na wake zenu" inamaana apo alikujulisha kua mwanamke ni bright kuliko wewe mwanaume.
Tangu lini umeanza kuwa msemaji wa Mungu, he was watching me since I was born and he'll keep on watching me till the day I die... you know why..... mimi ni sura na mfano wa Mungu as he said.... I resemble him.... when you see me you see God.... (tutapishana tafsiri tuu ya haya maneno ila ndivyo ilivyo, bisha hadi lyamba .......teh)
Hapo kwenye red unatilisha huruma, yaani umechanganyikiwa na wanawake hadi unachapia maneno hata huelewi unaandika nini masikini..... poyee toto....😀😀😀
Halafu, shauri langu nilishakupa uhangaike nalo lakini huachi lirudia....
Usiku mwema....
Ngosha. Uko Dar sasa. Au unasubiri mpaka ukutane na mama Kifimbocheza Faiza Foxy ndo ujifunze lugha sahihi?Ni kiumbe dhaifu km tulivyokalilishwa, ila kiuharithia Mwanamke si kiumbe dhaifu