Xhaks
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 245
- 226
Ngosha. Uko Dar sasa. Au unasubiri mpaka ukutane na mama Kifimbocheza Faiza Foxy ndo ujifunze lugha sahihi?
=> Tulivyokalilishwa = tulivyokaririshwa (Hapa nimekuelewa kwa sababu Kisukuma hakina r)
=> Kiuharithia = kiuhalisia (Hapa sijakuelewa kwa sababu Kisukuma hakina th. Umeitoa wapi mpaka kufikia steji ya kuitumia hata mahali isipotakiwa?)

Hahahah.. AiseeNgosha. Uko Dar sasa. Au unasubiri mpaka ukutane na mama Kifimbocheza Faiza Foxy ndo ujifunze lugha sahihi?
=> Tulivyokalilishwa = tulivyokaririshwa (Hapa nimekuelewa kwa sababu Kisukuma hakina r)
=> Kiuharithia = kiuhalisia (Hapa sijakuelewa kwa sababu Kisukuma hakina th. Umeitoa wapi mpaka kufikia steji ya kuitumia hata mahali isipotakiwa?)
Anywe maji Tu, wanawake hawadhulumu,tunawapaga kwa hiari tena roho nyeupe kabsaWe uliepost uzi huu jitahid yule mwanaume aliyedhulumiwa Tsh 3m na mchepuko asiuone huu uzi
Wewe mwanamke mbona unakuwa mbishi hivi... khaaa...
Wewe katoto ka juzi tu hapa... unabadilishwa pampers nakuona leo unajiona umekua..Ulichomeka au ulisukumia ikakataa kuingia hata useme mbishi? Tulia dogo acha papara wakubwa zako wanasimamia kwato.
Wewe katoto ka juzi tu hapa... unabadilishwa pampers nakuona leo unajiona umekua..
Unajifanya kunibembeleza ili nikusamehe... hakuna hapa.. na utajuta...Hhehehehehee poleeee..... poyee totoooo, nikirudi nikuletee nini...... bikutiii na shkilimu eeehhh hehehehehhee bashiii nyamaza totoo ushilieeeh .... umeshkia toto juli eeehhh hahahahahahahahahaaaaaa (nduuukiiiiiiii............)
Co kweli,anawajua barabara ndio maana akatutahadharisha sisi tusiojua A wala Ba juu yao!Acha tu Mkuu hata yeye mwenyewe hawaelewi.. Ndo Maana katuambia tuishi nao kwa akili...
Unajifanya kunibembeleza ili nikusamehe... hakuna hapa.. na utajuta...
Alimuua kanumbaEwe mwanaumme kuwa makini na huyo kiumbe mwanamke...
1:Alimuua Samson
2:Alimuua Uria
3:Alimwangusha Daudi
4:Alimuua Amnon
5:Alimuua Absalom
6:Alimuua Naboth
7:Alimuua John the baptist
8:Alimdanganya Yacob (Israel)
9:Alikula tunda (Eden)
10:Alitufanya hadi leo tule kwa JASHO..
Ref :- HOLY BIBLE
Hahahahahahhaaa kooonyoooo weeh nani akibembeleze Kasie huyo... hehee una hamu ya kubembelezwa eeh....
Ujanaja wako wote ni hapa tu, lakini face to face unajibebisha sana...
Daaaahhhh sawaaaaaaa mkuu!Utofaut kati ya mwanamke na mwanaume tofauti na maumbile ni kwamba ubongo wake unatoa umeme muda wte ule,,,na sifa kuu wamekosa kujiamin kwa kila jambo,,sekta pekee inayowatesa ni kutokujiamin ndio maana anaweza sindikizwa dukan usiku na mtoto wa miaka minne wakat yeye ana miaka 30
Poleeeee...... maskini una hamu ya face to face eeehhh...... usjali, utawala mpya ukiinia madarakani itapatikana nafasi ya face to face. Kwa sasa endelea tuu kupiga maki taimu....😀😀😀
Ahsante mrembo,umegusa palepale.Who run the world - Beyonce
Face to face na wewe... No way... why waste my time...