gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 6,174
- 6,813
Mwanamke ni kuimbe dhaifu na itabaki kua ivyo ila udhaifu wao hautokan na wao kushindwa kufanya hayo uliyoyataja bali nikwasababu ni kiumbe complex na huo ndio ukamilifu wao.Na iyo iliwekwa makusudi na aliyewaumba maana kama mwanamke angekua na akil,mawazo na maamuz kama mwanaume dunia ingekua mahali pa shida kuishi.Ila Muumba alimfanya mwanamke kua dhaifu kimwili na kihisia alafu akampa nguvu zamapenzi alafu mwanaume akapewa akili nying,maamuz thabiti,misuli yenye nguvu alafu akampa udhaifu kwa mwanamke.Kwaiyo tunasema niviumbe dhaifu sio kwa nia yakuwashusha au kuwadhalilisha bali nikwakua wanaume tunashindwa kuwaelewa wanawake nawakat mwingine tunalazimisha wafikiri nakutenda kama wanaume kitu ambacho hakiwezekani.Endapo wanaume tungeacha kuwatafsiri wanawake kwakutumia akili zetu zakiume na wanawake nao wangeamua kutumia akili zao kutafsiri matendo yao bila kutegemea mtazamo wa akili zamwanaume nadhani leo tusingekua tunaongelea neno udhaifu kwa mwanamke maana hadi hapa tulipofikia matendo ya mwanamke nimakubwa na hatari zaidi kuliko wanaume.Ila pia tumshukuru Mungu kuwaumba ivyo na wanaume tukapewa udhaifu kwao maana vinginevyo kungekua na vita kubwa sana yakijinsia duniani.