Tozii Nyambii
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 144
- 77
Wewe jamaa ni muongo saaaana moshi INA maendleo saana wewe sijui umetokea wapi wewe
mkuu na ww upogi bm kumbeMhhhh. Moshi hakuna mji pale .mji unaokuwa kwa kasi ni Bomang'ombe
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.
Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.
Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.
Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.
Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
kumbe ndio home safi saaana mimi huko sio mwenyeji ila natembeaga tu kuanzia pasua bomambuzi mbuyuni hadi majengo kwa mtei mabogini laini polisi kule kwa jani(sehemu tulikokuwa tunakutana watoto kipindi cha sikukuu) karibu na kindoroko matindigani njoro hadi shant town bila kusahau kumbi zetu za liberty kwa wakorofi na peace park ila mabogini kuna mtaa wa Barcelona AISEE MOSHI PAMETULIA SANA JAPO SI MWENYEJI WA HUKONdio kwetu mkuu PNC 1. Mitaa ya ushirika wa neema. Ni zaidi ya sinza kila baada ya nyumba bar na zote zinajaa....
Acha wivu na husda,utakonda na kupata pressure yakujitakia.Kwani ulikuwa hajui wengi wanaofanya fujo kwenye mitandao ni Wachagga. Wakimaliza kuchomelea magrill na kufunga madirisha ya aluminium wanaanza kunywa viroba na kusambaza upuuzi kwenye mitandao.
Tatizo wanajiona wamestarabika kuliko makabila mengine. Wakumbuke maendeleo waliyopata mpaka sasa yametokana na upendeleo ambao hata wenyewe wanautambua sasa.
Waache ubinafsi tusonge mbele sasa la sivyo wataachwa nyuma na majivuno yasiyo natija kwa jamii ya leo.
Nimepata kile nilichokuwa nakitafuta. Mmejaa wenyewe kwenye frame.
Uzi umefungwa rasmi!!
Taasisi za kifedha ni crdb na nmb tu ndiyo zinazopatikana bomang'ombe hata bank ya posta haipo yani mzunguko wa pesa ni mgumu huwezi linganisha na moshiMhhhh. Moshi hakuna mji pale .mji unaokuwa kwa kasi ni Bomang'ombe
Hebu tupe mkoa wako uliotoka mkuu tupate kukusifia kwa hatua mlizopiga.Huo ni ukweli ulio wazi kbs, nilisoma Moshi around 2000, na kwa ss natenbelea saana moshi, yaani pale moshi town mabadiliko ni madogo sana, ukiacha yale magorofa yanayomea karibu na mahakama pale,
otherwise moshi iko vilevile
Sure huko moshi vumbi jekundu Na matope sana bati zote kutu hamna kitu hapo povu tuKwani ulikuwa hajui wengi wanaofanya fujo kwenye mitandao ni Wachagga. Wakimaliza kuchomelea magrill na kufunga madirisha ya aluminium wanaanza kunywa viroba na kusambaza upuuzi kwenye mitandao.
Tatizo wanajiona wamestarabika kuliko makabila mengine. Wakumbuke maendeleo waliyopata mpaka sasa yametokana na upendeleo ambao hata wenyewe wanautambua sasa.
Waache ubinafsi tusonge mbele sasa la sivyo wataachwa nyuma na majivuno yasiyo natija kwa jamii ya leo.