Uzi huu haufungiki.....subiri baada ya msiba ndiyo uufunge rasmiNimepata kile nilichokuwa nakitafuta. Mmejaa wenyewe kwenye frame.
Uzi umefungwa rasmi!!



Ndio kwetu mkuu PNC 1. Mitaa ya ushirika wa neema. Ni zaidi ya sinza kila baada ya nyumba bar na zote zinajaa....si kweli mimi nilikaa miaka mitano cjafika MOSHI ila nilipoenda aiseee imebadilika saana imekuwa ya kupendeza na hiyo ndio raha ya upinzani KIUKWELI MOSHI WANAJITAMBUA
Mkuu acha tu.Anzia tu pale chini KCMC mpaka Ushirika wa Neema bata tupu. Lami mpaka maporini
Hata msibani kwenyewe hajafika maana kwa miaka 20 iliyopita na sasa lazima angeiona tofauti huyo labda kahadithiwa tuu tena na mlevi aliekua anaota ndoto mchana nae kaona ni vizuri ajifanye nae keshafika moshiKafika msibani hajatembea.. Ushamba acha bhana... Omba utembezwe.. Au unataka tuweke bahari ndo utajua pameendelea![]()
Kote nimefika machame marangu rombo ciyo kweli kwamba kuna nyumba za kushangaza cipo nzuri lakini na magofu kibao hasa huko machameEscort 1 wachaga wamejenga makwao, marangu, machame, kibosho nk, maghorofa na mijumba ya maana wameficha migombani mkuu.
ESCORT 1
Mkuu, vijiji vya kilimanjaro huwezi kufananisha na vijiji vya mikoa mingine, nimetembea nchi nzima hakunaKote nimefika machame marangu rombo ciyo kweli kwamba kuna nyumba za kushangaza cipo nzuri lakini na magofu kibao hasa huko machame