Maajabu ya Mji wa Moshi

Maajabu ya Mji wa Moshi

Nime miss kitimoto ya Moshi!! Tulikuwa tunaenda kula Kiboroloni sijui hadi ipo au walihamisha mahakama ya nguruwe?
Kama uko Moshi kwa sasa hebu niambie na pale Majengo kwa Kipanga bado wanachoma nyama za mbuzi?

Zipo ndugu yangu tena zimejaa tele. Pale majengo sec. nimesoma na mahondaw hapo kwa kipanga sijajua kama yupo maana sijapitaga kule tena.

Kiboriloni bado zipo za kutosha nina jua mitaa na mengine inaongezeka.

Bado upo Buswelu nakumbuka pale kwenye shule ya ibanda nilitakwa kulipishwa hela kisa nilitembea na mtoto wa shule ikanibidi nikimbie na field sikumaliza. Ila watoto ya kanda ya ziwa si maharage ya mbeya ni maini ya ng'ombe

Nitakuja aisehhh tena mwanza
 
Bado upo Buswelu nakumbuka pale kwenye shule ya ibanda nilitakwa kulipishwa hela kisa nilitembea na mtoto wa shule ikanibidi nikimbie na field sikumaliza. Ila watoto ya kanda ya ziwa si maharage ya mbeya ni maini ya ng'ombe
hahahahahahahaahahahahaah
 
we bila shaka utakuwa ni mwanamke wa dar
 
Wewe utakuwa umefika njoo kwa kipanga bila shaka au hi No town ipo unazungumzia
 
Wewe umelewa mataputapu Moshi inebadilika sana na kwa taarifa yako wachagga December hawaendi mjini bali huko mgombani, nenda huko kama hujaomba hifadhi ya ukimbizi.
Hahahaha...! Moshi migombani ni kukali balaa, mijumba ya kufuru ipo huko. Natamani nirudi MWIKA.
 
Moshi haipo moshi ipo kila mahali. Ingia sanya.machame.kibosho.uru.old moshi.kirua.marangu.mamba.mwika.mashati.mkuu hadi tarakea. Kila kitu mwaa. Majengo.maisha swaafi.sio miji imejengeka kilomita 1 tu unakutana na udogo.

Tafuta nyumba za nyasi na udongo ndo ufananishe na kwenu.

Tulia. Njoo nikujazie mafuta utembee moshi uone.
Barabara.maji umeme kila mahali.

We vipi?
 
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
Hauna adabu, emb iache Moshi....
 
Wewe umelewa mataputapu Moshi inebadilika sana na kwa taarifa yako wachagga December hawaendi mjini bali huko mgombani, nenda huko kama hujaomba hifadhi ya ukimbizi.
Hahaha kweli kabisa kama akija hapa marangu atatamani asirudi tena huko kwao
 
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.

Watu wanafikiri mji ni magorofa marefu. Mji ni usafi, mipango, na economic activiies
 
Unaongelea Moshi gani mtoa madaa.... Isije kuwa Moshi wa bhangi Kwan Ndo haubadilikii ni uleule....
 
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
Ukisikia wachaga wanajenga kwao haimanishi wanajenga Maeneo ya serikali Mangi.. wanajenga kwao as kwao.
Sasa ukishamaliza Majukumu yako ..Washa Gari Pandisha Machame , kisha Pita Marangu nenda ukajionee Mansion Ni Utulivu wa Hali ya hewa ..
Usisahau Kupata Mbege Chubuku Moja.
 
Back
Top Bottom