Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.
Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.
Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.
Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.
Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
Sijaelewa uko connected vipi na msiba huu wakati ni miaka 20 hujafika Moshi muda ambao marehemu alikuwa mbunge. Labda umeendea lingine na sio msiba. Tunapoenda msibani huwa hatukagui nyumba ya msiba sijui ina TV, buibui etc kwa kuwa sio dhumuni lake.