Maajabu ya Mji wa Moshi

Maajabu ya Mji wa Moshi

Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.

Sijaelewa uko connected vipi na msiba huu wakati ni miaka 20 hujafika Moshi muda ambao marehemu alikuwa mbunge. Labda umeendea lingine na sio msiba. Tunapoenda msibani huwa hatukagui nyumba ya msiba sijui ina TV, buibui etc kwa kuwa sio dhumuni lake.
 
Wakizamani sawa na ndiyo maana ya kuitwa Old Moshi-watakiwa kubaki kizamani zamani hivyo kwa ajili ya utalii!, na ni msafi kuliko miji mingi TZ...
 
Maajabu makubwa moshi ni kuyeyuka kwa barafu ya mlima kilimanjaro na joto kubwa moshi mjini.
 
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.

Tuambie na wewe kwenu wapi?
 
Mimi siyo mchagga wala mtu wa Kili ila ninachoamini ni kuwa watu wanaopenda maendeleo huwa wanaanza kwenye grass root. Iweje uende kuporomosha mighorofa mjini wakati bado una nyumba ya nyasi kijijini. Nilishasoma uzi fulani kuhusu Kagera/Bukoba, niliumia ila nilikuwa sina jinsi ya kutuma hata picha. Nasikia makabila yanayojenga mijini yanaogopa uchawi sina uhakika.
 
Wewe mbona haujasema kama umetokea London au Bahi na huko umeporomosha mijengo gani. Au ni wale wanaotaka wenzao wajenge wao wasifie au waponde. Sasa baada ya mazishi rudi hapa utusimulie ulivyokula na kunywa hapo Kibororoni kwa mzee Ndesa.
 
Mabadiliko gani uliyokuwa unayataka kuyaona ni bahari, mito au maziwa?
 
ila mimi kitu kinachoniudhi ni ile uko town pale unakuta mtu anaeonekana kapiga pamba za kisasas , anaonekena wa kishua ; ngoja aongee sasa, duh, utakimbia , anaongea kichaga kitupu
 
apa ruwa, kiruuuuuuuuuuuuuuu, hahahahahah, mbuuuutaaaa

Siku moja nikiwa mwanafunzi nilishaga mwenzangu mmoj maana tulitoroka tukafika sehemu moja tukaagiza.

kuja kustuka tuna mwisilam ikabidi tule tu japo aliisifu sana na kesho yake akataka tena.

alipokuja kustuka dah urafiki ukaisha kabisa
 
mji wa moshi.
E86A0333.JPG


DSC05936.JPG
 
Siku moja nikiwa mwanafunzi nilishaga mwenzangu mmoj maana tulitoroka tukafika sehemu moja tukaagiza.

kuja kustuka tuna mwisilam ikabidi tule tu japo aliisifu sana na kesho yake akataka tena.

alipokuja kustuka dah urafiki ukaisha kabisa
Nime miss kitimoto ya Moshi!! Tulikuwa tunaenda kula Kiboroloni sijui hadi ipo au walihamisha mahakama ya nguruwe?
Kama uko Moshi kwa sasa hebu niambie na pale Majengo kwa Kipanga bado wanachoma nyama za mbuzi?
 
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
Jaribu kujongea migombani vijijini ndanindani,then utupe mrejesho.
 
Naona Wachagga wanamalizia stress zao kwenye huu uzi. Wamepata mahali pa kupumulia kana kwamba wamebanwa kiaina fulani hivi.
 
W
Nimekuja Mo town kwenye msiba wa Mzee Ndesamburo, nimeshangaa na kustaajabu.

Mara ya mwisho kukanyaga Moshi ilikuwa mwaka 1998, almost miaka 20 iliyopita lakini mji huu haujabadilika.

Miaka nenda rudi Mji wa Moshi upo vile vile tena upo kizamani sana. Wachagga mnaniangusha, yaani ile misifa yote ya Kugombea magari mwisho wa mwaka kumbe mnakuja kwenye kamji uchwara kama haka.

Wachagga hebu, amakeni acheni kujisifu haswa mkiwa nje ya Mo town, badilisheni hiki kijiji chenu mnakokaita Mji.

Baada ya Msiba nitafika huko A town kwa Machalii nikaone nini kimejiri, maana hawana tofauti sana na watu wa Mo town.
Wewe Mbona hujabadilika
 
mimi nilikua sijawahi kwenda moshi ila nilienda kwenye maonyesho ya osha na siku ya wafanyakazi nilipapenda pako vzr tulishindana kwenye chakula nilikuta ndizi nyama kila nilipoend
wewe ukawa unatafuta wali.? kule ni chakula cha kuku
 
Mleta hoja nahisi hujafika Moshi uansemea tu kwa mihemko yako. Miaka 20 mji uko vilevile? kweli nahisi kuna kitu unatumia na kimeshapigwa marufuku. mji sasa hivi unakimbilia kuwa jiji huo. Eti watu wanaenda dec kumbe hamna kitu. Panda milimani kwao uone mahekalu, umeme kila kaya, lami, mabomba ya maji, mito ya maji! Ni ukweni acha niseme ukweli kwani nimepapenda sana tofauti na kwetu Iringa.
Ushapigwa limbwata la kichaga wewe
 
Back
Top Bottom