Jalema
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 594
- 869
Si kweli hapa jf ikipita mwezi mmoja bila kubandikwa uzi wa wachaga hapanogi sababu comment mbali mbali zinawamotivate watu kuendeleza majumbani kwao tukubali tu yaishe awa jamaa walishatangulia ndio wana run Tanzania wako juu aisee na nnakuambia huu uzi utapata wachangiaji zitafika page hata 800Naona Wachagga wanamalizia stress zao kwenye huu uzi. Wamepata mahali pa kupumulia kana kwamba wamebanwa kiaina fulani hivi.