Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,830
- 2,005
Nipe mimi huo mchepuko niuoe kabisa,
Mm nakushauri hii story yako mshirikishe mkewako atakusaidia cha kufanyaHaya ni maajabu ya mchepuko wangu kiukweli ni mzuri na ana diploma fulani hivi lia bado hana kazi na tulikutana mwezi wa tatu mkoani na nikamweleza fika kuwa nina MKE NA WATOTO WATATU .
Sasa anadai ananipenda sana na anataka tuzae mtoto mmoja tu by the way mimi kakazi kangu na kamshahara wa laki mbili nikadhani anatania kumbe yupo seriously.
Nikampa swali baada ya kuzaa inakuwaje akadai we muhudumie mwanao tu sihitaji kingine na nikamuuliza una mpango gani na kaz huna akadai mwaka huu mwishoni anaenda kuchukua bachelor na anataka mwezi wa tatu mwakani awe na mtoto.
Mchepuko wenyewe una miaka 23 na sasa hayo ndo madai yake ya mtoto nikadhani labda ana kamimba kamtu mwingine nikaenda mpima hana na leo asubuhi na mapema ananiuliza vip ombi langu yaani ni kero.
Sasa nashindwa kuelewaa kama kuna mtu alishakutana na haya tu share kidogo wadau
Kajadili hili swala na partner wako wa maisha, unaweza washirikisha watoto pia
Nilikutumia umeiona ni pin la ukweliHAUNA PICHA UTUWEKEE HAPA KWANZA?
Ushauri bora kabisa,
Big up.[/QUOTEhahahahahahahah
hivi kila mtu akimng'ang'ania wife wake,wale ma dada single watakuwa na nani?si unajua kuwa tz wanaume ni wachache kuliko wanawake?mwache afanye yake,😛😛😛