Maajabu ya mchepuko wangu

Maajabu ya mchepuko wangu

Hizi insta zinaaribu sana hasa maisha Ya Insta Ya kina hamisamobeto
 
hao ndio wanasemaga hivyo hivyo,ngoja wazae sasa,vituko hadi mkeo halali atasanuka,sio wa kuwaendekeza hao,ni ving'ang'anizi balaa,usijaribu kabisa mkuu
 
Haya ni maajabu ya mchepuko wangu kiukweli ni mzuri na ana diploma fulani hivi lia bado hana kazi na tulikutana mwezi wa tatu mkoani na nikamweleza fika kuwa nina MKE NA WATOTO WATATU .

Sasa anadai ananipenda sana na anataka tuzae mtoto mmoja tu by the way mimi kakazi kangu na kamshahara wa laki mbili nikadhani anatania kumbe yupo seriously.

Nikampa swali baada ya kuzaa inakuwaje akadai we muhudumie mwanao tu sihitaji kingine na nikamuuliza una mpango gani na kaz huna akadai mwaka huu mwishoni anaenda kuchukua bachelor na anataka mwezi wa tatu mwakani awe na mtoto.

Mchepuko wenyewe una miaka 23 na sasa hayo ndo madai yake ya mtoto nikadhani labda ana kamimba kamtu mwingine nikaenda mpima hana na leo asubuhi na mapema ananiuliza vip ombi langu yaani ni kero.

Sasa nashindwa kuelewaa kama kuna mtu alishakutana na haya tu share kidogo wadau
Mm nakushauri hii story yako mshirikishe mkewako atakusaidia cha kufanya
 
Kuharibu ndoa yako ni rahisi lakin kuja kuitengeneza tena ni kazi sana
So be careful the way you trade in those affairs
 
Usije kumpa mimba atakusumbua sana na kama kumgegeda endelea hila usipige kavu maana atakutegeshea akiona huelekei matakwa yake
 
Angalia mipango yako ni kuwa na watoto wangapi?? Kama una nafasi ya kutaka mtoto mwingine....zalisha huyo! Acha uoga! Ila tunza kweli mtoto....usitujazie panya road mtaani!!!
 
Maisha ya mchepuko ni hatari sana kwa ndo hasa kipindi hiki. Jiepushe na ombi lake la kuzaa naye. Itakusumbua maisha yako yote.

Umri wake bado ni mdogo sana kwa nini asitulie apate mme wake?

Ogopa sana ombi lake.
 
hivi kila mtu akimng'ang'ania wife wake,wale ma dada single watakuwa na nani?si unajua kuwa tz wanaume ni wachache kuliko wanawake?mwache afanye yake,😛😛😛

Umetisha mdau
 
Back
Top Bottom