Maajabu ya mchepuko wangu

Maajabu ya mchepuko wangu

Nimeona hili tu,

" Nina mke na watoto watatu"
 
Utakuja kujuta nakuambia hutamwacha na huwezi. Nilimwomba dem moja nizae nae ingawa kwa sasa ameolewa lakini anasumbua hasa, gharama za mtoto nimebeba mimi yeye na mmewe wanahangaikia wtt wao. Na demu mwingine nae mwaka huo huo 2009, aliniomba nizae nae yaani km vile anajiweza mda huo lakini cku hizi hana ajira nimejikuta ananitegemea kiaina ingawa si asilimia zote lakini bado ni kero coz nina mtoto pale afu yeye anatumia mtt km ngao yake..... Maanake hizo huduma hazitakoma mda wako wote km unaipenda damu yako. Ila km huipendi we zaa nae afu usepe zako km dume la ngombe vile.
 
Usichelewe ndugu yangu, imeandikwa zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia. Hata akitaka kumi we mpe tu maana hakuna namna.
 
kichwa cha thread kinanichekesha sana et MAAJABU YA MCHEPUKO WANGU kila nikikuta lazma nifungue
 
Kama una mke na watoto /mtoto tulia mtoto wa njema atavuruga Familia Yako hapo hutaki hutakuwa na Familia moja Bali 2
 
Mungu awahurumie. Uzinzi sahv n kawaida na watu hatustuki....
Dah!!!! Bas tu.
 
mpe ujue usumbufu wake utajuta ndugu yangu usijaribu
 
Back
Top Bottom