Fanya utafiti utagundua kuwa resho ya wanaume watu wazima 18+ ni karibu 1:3 ya wanawake wa umri huo,kwa uchache kila mwanaume anaweza kuwa na wanawake zaidi ya watatu bila effect yoyote,😛😎ni wachache kwa tofauti gani na wanawake? na umri upi ulio chini zaidi na upi ulio juu? acheni kuhalalisha ufirauni.
Ndio maana nakupenda sana, wewe siyo mnafikiUsikubali...
"Mikowani" ndio nini? Kweli we kijana wa daslam.Wewe lazima utakuwa mwanaume wa mikowani.
Asante kwanini nisikubali my valentinaUsikubali...
Sasa tufanyeje wakati nyie mnatakaKweli nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke...kupenda maisha ya shortcut...sisi wanawake tulivyo anakutega huyoo mtu bado anaenda chuo mtoto wa nini?? anajua una mke hamuonei huruma mwanamke mwenzie pamoja na watoto tena kwa mshahara laki mbili....haya endeleeni na michepuko sukari elfu tatu kilo
Kuzaa na mwanamke mwingine asiye mkd wangu si kwamba simpendi mke wangu pia namuhurumia watoto watatu tayari anao sasa na pia mimi sina shida ya kwanini nizae na mtu mwingine shida target ya huyu mwanamke itakuwa nini?Mkuu kwanini uzae mtoto kwa kulazimishwa na mtu mwingine pasipo kuamua mwenyewe?
Kwanini uzae na Mwanamke asiye mkeo ikiwa unathamini ndoa yako?
Una uhakika na matunzo ya huyo mtoto?
Hayo maswali ni ya msingi wewe kujiuliza.
Utajiingiza matatizoniAsante kwanini nisikubali my valentina
Nifafanulie basi rafiki yanguUtajiingiza matatizoni
Unauhakika gani kuwa wewe siyo kilaza kwa haya uliyo andika hapa !Haya ni maajabu ya mchepuko wangu kiukweli ni mzuri na ana diploma fulani hivi lia bado hana kazi na tulikutana mwezi wa tatu mkoani na nikamweleza fika kuwa nina MKE NA WATOTO WATATU .
Sasa anadai ananipenda sana na anataka tuzae mtoto mmoja tu by the way mimi kakazi kangu na kamshahara wa laki mbili nikadhani anatania kumbe yupo seriously.
Nikampa swali baada ya kuzaa inakuwaje akadai we muhudumie mwanao tu sihitaji kingine na nikamuuliza una mpango gani na kaz huna akadai mwaka huu mwishoni anaenda kuchukua bachelor na anataka mwezi wa tatu mwakani awe na mtoto.
Mchepuko wenyewe una miaka 23 na sasa hayo ndo madai yake ya mtoto nikadhani labda ana kamimba kamtu mwingine nikaenda mpima hana na leo asubuhi na mapema ananiuliza vip ombi langu yaani ni kero.
Sasa nashindwa kuelewaa kama kuna mtu alishakutana na haya tu share kidogo