Maajabu ya Kanisa Katoliki

Maajabu ya Kanisa Katoliki

24. Kanisa Katoliki halikuwatuma kuiba kura na kuendesha uchaguzi wa ulaghai

25 kanisa katoliki halikuwatuma kuuwa halaiki ya watu masikini na wengi wakiwa majumbani

26. Kanisa katoliki halikuwatuma mteke na kuuwa Watanganyika ovyo

27. Kanisa katoliki halikuwatuma make mhimili ya serikali hasa bunge na mahakama

28 kanisa katoliki halikuwatuma mbambikie watu kesi za uhaini na Ugaidi

29. Kanisa katoliki halikuwatuma kuuza bandari na Ngorongoro na kifisadi nchi

30. Kuhusu kashfa ya ngono, hebu twambie ni Padre nani alikufir.a
hahahahahaaaaa... Akijibu hiyo namba 30. naomba uniite tafadhari.
 
1. Kanisa katoliki hushiriki kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe sehemu mbalimbali duniani.

2. Kanisa katoliki lilishiriki mauaji ya kimbari Rwanda.

3. Kanisa katoliki lina mapadri wengi wanaolawiti watoto wa kiume.

4. Ni kanisa lililoruhusu ushoga.

5. Lina chuki na uislamu.
Wanawake mkiwa na mood swing mna shida sana. We mama samia acha hasira.
 
Maajabu mengine mashoga pia wanaruhusiwa kuhiji Vatican na kuoana kanisani
Hujui ukristo na wala wewe siyo mkristo, wakristo hatubagui mtu kuabudu, hata Yesu alimtetea kahaba aliyetaka kupigwa mawe, akauliza ambaye anajiona hana dhambi atangulie kumpiga huyu mwanamke jiwe! Wakabaki wanazodoana,

Shoga akiingia kanisani hatengwi bali anafundishwa kutubu na kumrudia Mungu mkuu
 
Kwa kuongezea:
1. Kanisa Katoliki ndiyo Kanisa pekee ambalo mnyororo wake wa uongozi, tangu Mt. Petro, haujakatika mpaka leo.

2. Kanisa Katoliki ndilo the most conservative, lisilokubali kuendana na mabadiliko ya Dunia. Yesu, hakumteua mwanamke kuwa mtume, wala mitume wake hawakuwahi kumchagua mwanamke yeyote kuwa mtume, japo wakati wote walikuwepo wanawake waliojitolea maisha yako kutumikia Mungu, wao walipewa majukumu mengine, lakini siyo kuwa maaskofu au mashemasi. Ndivyo ilivyo mpaka leo.

3. Kanisa Katoliki ndiyo Kanisa pekee lenye historia a kumbukumbu zote kuhusu ukristo.

4. Kanisa Katoliki ndilo kanisa pekee ambalo watumishi/viongozi wake ndio kwa kupitia mikono na kauli zao, Mungu alitenda miujiza ya wazi, iliyothibitika kwa kila aliyekuwepo na hata na wanasayansi mashuhuri, mf. Miujiza mingi kwa mikono na kauli za Mt. Fransisco wa Aziz, Sista Fausta wa Poland, Padre Pio wa Italia, Mt. Ritha wa Kasia, Mt. Veronica, Muujiza wa Ekaristi Takatifu wa Lanciano,.

5. Kanisa Katoliki ndilo linalofuata maelekezo ya Yesu kwa vitendo, kama vile kutokuhukumu wengine, kutokupiga kelele, wala waumini wake kujionesha mbele za watu ili kutafuta sifa.

6. Kanisa Katoliki ndilo linaloshikilia nyaraka nyingi za historia ya ukristo, jinsi wakristo wa mwanzo kabisa walioishi nyakati za mitume walivyofanya katika kuuishi ukristo wao.

7. Kanisa Katoliki ndilo linalofuata liturujia ya wakristo wa mwanzo, wakifanya mabadiliko madogo sana. Kwa kadiri ya maandiko ya Askofu Ignatius, baba wa imani ni kwamba ibada ya wakristowa mwanzo ilifanyika siku ya kwanza ya Juma, liliyoitwa siku Siku ya Bwana au Siku ya kumega mikate. Ibada ilifanyika kwa utaratibu ufuatao:
a. Kuulizana na kuombana msamaha kabla ya kuingia hekaluni.
b. Kumwomba msamaha Mungu
c. Kumsifu Mungu
d. Kiapo mbele ya Mungu
e. Kumwabudu Mungu
f. Kubariki mikate
g. Kumega mikate
h. Kumshukuru Mungu.

8. Kanisa Katoliki ndilo lilitoa mwongozo kwa mifumo ya Dunia. Cannon law, ndiyo imejenga msingi wa mifumo ya sheria Duniani kote. Kanisa Katoliki chini ya uongozi wa Papa Cinstantin, ndiyo ulitoa mwongozo wa ndoa, ikiwemo kutoa tangazo wiki 3 kabla ya kufungidha ndoa. Vyuo vikuu vyote vya mwanzo vilianzishwa na Kanisa Katoliki, ndiyo sababu mpaka leo wahitimu huvaa majoho ambayo yalikuwa vazi rasmi la mamlaka ndani ya Kanisa.

NB: Kanisa Katoliki ndiyo msingi wa imani ya Kikristo, lakini pia dini ya kiislam iliiga mambo mengi toka Kanisa Katoliki.
 
Maajabu mengine nikisujudia vinyago vya mpingo.
 

Attachments

  • FB_IMG_1765133759507.jpg
    FB_IMG_1765133759507.jpg
    31.1 KB · Views: 8
Trump anawanyoosha huku mpaka wanatoa mlio, walizoea hela za bure

1765645250725.png

1765645303810.png
 
Hujui ukristo na wala wewe siyo mkristo, wakristo hatubagui mtu kuabudu, hata Yesu alimtetea kahaba aliyetaka kupigwa mawe, akauliza ambaye anajiona hana dhambi atangulie kumpiga huyu mwanamke jiwe! Wakabaki wanazodoana,

Shoga akiingia kanisani hatengwi bali anafundishwa kutubu na kumrudia Mungu mkuu
Kutubu ndo kuoana?
 
Back
Top Bottom