ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
1. Kanisa katoliki halijawahi kuongelea dini yoyote, hata kama ni washindani wao
2. Kanisa katoliki halijitangazi
3. Kanisa katoliki muda wa ibada ni saa 1 hadi 2.
4. Ukiondoka hupigiwa simu hata uasi miaka 10 na ukirudi huulizwi ulikuwa wapi?
5. Hakuna muda wa kutabiri, sijui uponya, fukuza mapepo au majini
6.mahubiri kanisa katoliki ni uniform.
Somo la siku husomwa hilo na hufundishwa hilo Dunia nzima, siyo mambo ya kuoteshwa.
7. Kanisa katoliki Lina Taasisi imara za familia, jumuiya, vigango, Parokia, hadi Jimbo
8. Kanisa katoliki Linatetea watu wote
9. Kanisa katoliki halina unafiki, ukikosea unaambiwa ukweli, ikifanya vyema unasifiwa hadharani
10.kanisa katoliki Lina ushawishi kwenye taasisi za kimataifa. Ukitaka uanguke hata kesho chokoza kanisa katoliki
11. Kanisa Katoliki ndo Dunia,
We guna na bichwa lako bila kisogo,
12. Kanisa katoliki sifa kuu ni kuwa na elimu, siyo kukariri ovyo
13. Kanisa katoliki halifigi majini
14 kanisa katoliki haliongwi ubwabwa
15. Kanisa katoliki haliyumbishwi na mbwa yeyote. Ukiligusa utayumba wewe
2. Kanisa katoliki halijitangazi
3. Kanisa katoliki muda wa ibada ni saa 1 hadi 2.
4. Ukiondoka hupigiwa simu hata uasi miaka 10 na ukirudi huulizwi ulikuwa wapi?
5. Hakuna muda wa kutabiri, sijui uponya, fukuza mapepo au majini
6.mahubiri kanisa katoliki ni uniform.
Somo la siku husomwa hilo na hufundishwa hilo Dunia nzima, siyo mambo ya kuoteshwa.
7. Kanisa katoliki Lina Taasisi imara za familia, jumuiya, vigango, Parokia, hadi Jimbo
8. Kanisa katoliki Linatetea watu wote
9. Kanisa katoliki halina unafiki, ukikosea unaambiwa ukweli, ikifanya vyema unasifiwa hadharani
10.kanisa katoliki Lina ushawishi kwenye taasisi za kimataifa. Ukitaka uanguke hata kesho chokoza kanisa katoliki
11. Kanisa Katoliki ndo Dunia,
We guna na bichwa lako bila kisogo,
12. Kanisa katoliki sifa kuu ni kuwa na elimu, siyo kukariri ovyo
13. Kanisa katoliki halifigi majini
14 kanisa katoliki haliongwi ubwabwa
15. Kanisa katoliki haliyumbishwi na mbwa yeyote. Ukiligusa utayumba wewe