Gidabed
JF-Expert Member
- Jan 29, 2023
- 423
- 792
Wakuu natumai mpo salama otherwise poleni na majukumu.
Kuna kampuni moja inafahamika kwa jina la safe land world investment,inasadikika ni kampuni inayohusika na masuala ya uwekezaji ambapo unawekeza pesa yako na kuisubiria kwa muda wa siku takribani 170.
Kwa mujibu wa kampuni hii kiwango cha chini cha kuwekeza ni $50 sawa na Tsh 125,000/=.
Ukiwekeza;
125k kila siku utakuwa unalipwa 1875.
Ukiwekeza 200k utalipwa 3000 kila siku.
Ukiwekeza 400k utalipwa 6000
(Mathematically hapo ukifanya utagundua ni % ngapi utalipwa kulingana na uwekezaji wako).
NB: ukiwekeza pesa yako wanadai zikifika zile siku 170 unarudishiwa nusu ya ile hela yako uliyowekeza.😁
Na wanasema kampuni yao ni valid until 2027.
Hivyo nilikuwa naomba kama kuna mtu ana walau fununu kuhusu hii kampuni atusaidie.
Maana matapeli wamejaa sana mjini siku hizi
Kuna kampuni moja inafahamika kwa jina la safe land world investment,inasadikika ni kampuni inayohusika na masuala ya uwekezaji ambapo unawekeza pesa yako na kuisubiria kwa muda wa siku takribani 170.
Kwa mujibu wa kampuni hii kiwango cha chini cha kuwekeza ni $50 sawa na Tsh 125,000/=.
Ukiwekeza;
125k kila siku utakuwa unalipwa 1875.
Ukiwekeza 200k utalipwa 3000 kila siku.
Ukiwekeza 400k utalipwa 6000
(Mathematically hapo ukifanya utagundua ni % ngapi utalipwa kulingana na uwekezaji wako).
NB: ukiwekeza pesa yako wanadai zikifika zile siku 170 unarudishiwa nusu ya ile hela yako uliyowekeza.😁
Na wanasema kampuni yao ni valid until 2027.
Hivyo nilikuwa naomba kama kuna mtu ana walau fununu kuhusu hii kampuni atusaidie.
Maana matapeli wamejaa sana mjini siku hizi