Maajabu ya East Africa Got Talent

Let me break it down ins simple terms...
Moja hapa kuanzia mwanzo sikuongelea nani zaidi.., ila nimemuonyesha mleta uzi utofauti wa Shows kama X Factor na Got Talent.., shows kama x-factor ukishinda contractually apart from money ni contract ya kile unachokifanya na kuimbia label husika hapo inaendana na mentoring ya kipaji chako...
Got Talent ni mashindano ya watu wowote wanajiona wana kipaji kushindanisha vipaji vyao.., ukishapewa mshiko wako mwisho wa siku hakuna any contractual agreement ya kile unachokifanya..., au kushinda kwako au kushindwa sio necessarily faida ya label..
Na uzuri Got Talent model ni anybody goes hata ukiwa na miaka 100 (jambo ambalo label haiwezi ku-capilize maendeleo yako) ila bado utakwenda as utatoa entertainment on the given day on the show... (ukitoka ukaenda kufa its up to you ..(the show does not direct gain from your success tofauti na nyingine ukiuza albums wanakula commission zao...
Kwahio hata watu wenye wasio na vipaji ila wana vutia audience (audience likeability) wanaweza kupitishwa... ingawa hawawezi kushinda...., ... (Just like Apprentice kupitisha watu ambao ni good Television.., not boring..) and preliminaries pia ni part of the show
Kwahio tukirudi mwanzo wa huu mjadala ambao tumeurefusha bila sababu za msingi narudia.., Got Talent Franchise sio platform ya kukuza talent per se..., talent exposure yes...., na show nyingine ambazo ukipita unapewa coaching na ushauri (mfano x -factor na nyingine) they are show za kukuza talent...
NB: It does not mean one is better than the other.., infact GOT Talent inaweza ikawa more entertaining sababu ya vituko vingi..
Kwenye entertainment shows zote lengo la kwanza la waendeshaji ni ku make money.....so no need to mention that. Iwe x factory or whatever
Contract kwa mshindi sio kigezo kwamba wako kutafuta vipaji per se na wasio toa contract hawako kutafuta vipaji per se

Platform wanayoipata pale ni zaidi ya contract, na ndio maana wapo washindi kwenye vipaji wanashinda na kupewa contract na wanafeli lakini wa chini yao ambao hawakushinda wanatoboa mbali sana
Wapo washindi kibao AGT wamepata mafanikio zaidi ya waliopewa contract baada ya kushinda

Narudia tena contract sio msingi mkuu kwamba unalengo la kendeleza vipaji au la
Msingi mkuu ni nafasi wanayopata washiriki kwa kupata fursa, swala la kuhimili kuendeleza vipaji zitabaki juhudi za muhusika ama awe na contract au hana
 
Kwenye entertainment shows zote lengo la kwanza la waendeshaji ni ku make money.....so no need to mention that. Iwe x factory or whatever
Contract kwa mshindi sio kigezo kwamba wako kutafuta vipaji per se na wasio toa contract hawako kutafuta vipaji per se

Platform wanayoipata pale ni zaidi ya contract, na ndio maana wapo washindi kwenye vipaji wanashinda na kupewa contract na wanafeli lakini wa chini yao ambao hawakushinda wanatoboa mbali sana
Wapo washindi kibao AGT wamepata mafanikio zaidi ya waliopewa contract baada ya kushinda

Narudia tena contract sio msingi mkuu kwamba unalengo la kendeleza vipaji au la
Msingi mkuu ni nafasi wanayopata washiriki kwa kupata fursa, swala la kuhimili kuendeleza vipaji zitabaki juhudi za muhusika ama awe na contract au hana
Ngoja niende pole pole labda utanielewa...

Kila biashara kuna business models zake ambazo inazipa pesa...

Kuna Shows ambazo mwisho wa siku mshindi anapewa contract, na anakuwa under label fulani na anatoa album kadhaa.., chochote atakachopata baada ya hapo waliompa contract wanapata pesa.. (kwa hio hii pia ni money making stream ya show husika) mtu mwenye kipaji akishinda wanamfundisha zaidi wanampa the best tools na wanajitahidi atoe kitu kizuri sababu anachotoa ni faida ya show husika (the label has stake on the individual)

Kuna show nyingine their money making stream is only when the show airs na sio baada ya hapo mshindi akishinda anachukua hamsini zake (hivyo show husika haina direct correlation na income ya mshindi anachofanya baada ya show)

Kwahio show moja ina stake ya talent ya mtu sababu wanainvest kwenye kipaji chake, pesa atakazopata na wenyewe wanapata, nyingine ni kutoa exposure kwa yeyote yule na katika kutoa exposure hio show husika inapata pesa through Good Television ( and good television does not necessarily mean talented people even mediocre people are good for TV).

Kuhusu ipi ni bora au nani anatoboa na nani hatoboi that's beside the point..., na wala kuanzia mwanzo sikusema ipi ni bora na nani anatoboa au hatoboi bali ni different models za business (one has stake on individuals talent.., another is getting as many people as possible of different arts the good, the bad and the mediocre, make a good TV and cash in in the show when its on air..., not after..)
 
Ngoja niende pole pole labda utanielewa...

Kila biashara kuna business models zake ambazo inazipa pesa...

Kuna Shows ambazo mwisho wa siku mshindi anapewa contract, na anakuwa under label fulani na anatoa album kadhaa.., chochote atakachopata baada ya hapo waliompa contract wanapata pesa.. (kwa hio hii pia ni money making stream ya show husika) mtu mwenye kipaji akishinda wanamfundisha zaidi wanampa the best tools na wanajitahidi atoe kitu kizuri sababu anachotoa ni faida ya show husika (the label has stake on the individual)

Kuna show nyingine their money making stream is only when the show airs na sio baada ya hapo mshindi akishinda anachukua hamsini zake (hivyo show husika haina direct correlation na income ya mshindi anachofanya baada ya show)

Kwahio show moja ina stake ya talent ya mtu sababu wanainvest kwenye kipaji chake, pesa atakazopata na wenyewe wanapata, nyingine ni kutoa exposure kwa yeyote yule na katika kutoa exposure hio show husika inapata pesa through Good Television ( and good television does not necessarily mean talented people even mediocre people are good for TV).

Kuhusu ipi ni bora au nani anatoboa na nani hatoboi that's beside the point..., na wala kuanzia mwanzo sikusema ipi ni bora na nani anatoboa au hatoboi bali ni different models za business (one has stake on individuals talent.., another is getting as many people as possible of different arts the good, the bad and the mediocre, make a good TV and cash in in the show when its on air..., not after..)

Nadhani inabidi "tukubaliane kutokukubaliana kwetu"

Kwamba wewe unaamini AGT haipo "kusaka na kukuza vipaji per se" sababu mshidi hapewi contract wala waandaaji hawana time na mshindi tena
(Mimi naamini ipo kusaka na kukuza vipaji per se. Sababu sio mkataba pekee unao unaohakikisha kipaji kinaendelea)

Hoja ya ku make money sidhani kama tunatofautiana na wewe
Wote wanasaka hela kwa strategy tofauti.....so hizi strategy zisikufanye udhani tofauti........it's a pure business, either unasaka kwa audience au kwa mshindi au vote or whatever

Naamini kila show ina strategy zake lakini mwisho wa siku tujiulize je washindi wa show kama uliotolea mfano x factory wenye contract, na washindi wanaopewa hela kwenye AGT ni wapi wamefanikiwa sana kuipitia vipaji vyao baada ya kuibuliwa na show hizi?
Hoja yangu ni je baada ya vipaji kuibuliwa vili fanikiwa kiasi gani? Je ni kwa sababu ya contract ya waandaaji? Au ni baada ya kupata exposure?........ hebu fanya ka home work kidogo kujua hili
Tukumbuke msingi mkuu ni ku make money na vipaji kupata mafanikio

Unless unamaanisha AGT haitoi contract kwa washindi na kuna show zina toa contract kwa washindi
Na sio kuna show zinasaka vipaji per se na AGT sio
 
Unless unamaanisha AGT haitoi contract kwa washindi na kuna show zina toa contract kwa washindi
Na sio kuna show zinasaka vipaji per se na AGT sio

Model ya kwanza ya business
ni kuchukua rough diamond kuipolish (sababu kwa that diamond not shining hio business haipati pesa) kwahio washindi kadhaa wanapewa coaching na nurturing za talent yao na atakayeshinda kupewa contract ya kutoa nyimbo (marketing ya talent yake.. na invester kupata more money) kwahio anafundishwa na kupewa studio time... kwa Business Model hio kutokupata Talent bora ni less money for them sababu album watakazouza zitaflop (kwahio business model ni acquiring the best there is..) Just like football academies zinainvest kwa watu ili mwisho wapate wazuri wa kuwauza ...

Model ya Pili ni exposure ya watu wanavipaji gani (mediocre, wenye vipaji na hata wakija best of them sawa) na ndio maana hapa hata akija mtu mwenye cancer ya kufa keshokutwa atachukuliwa sababu show hii haina faida na after sells..., it gains on exposure of that already talented individual..not after the talented individual wins (kwahio no need on investing on that talent) its an entertainment of exposing the talent not exploiting the talent (wala haina haja ya kuongezea ujuzi kwa already talent people)
 
SASA KAMA WENYE HAYO MAAJABU HAMUENDI UNATAKA NANI AKUONESHE HAYO MAAJABU?.....NAONA WE MAAJABU YAKO UMEYAONESHA KWA KUANZISHA THREAD TUNAKUOMBA UJE UTUONESHE MAAJABU YAKO TAFADHALI.
Hahahahaha
 
80% of the talents are from dancing...nothing...it is boring...

Being got talent...means having something extraordinary unique...

Judges being having a lot of yes's were there is an ordinary thing...not amaizing...

I am asking for the audiences at the back are they there to make around of applause only or...?
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom