Mkulu GT,
Ni kweli kuna kiwingu kikubwa kimetanda katika sakata zima la ujenzi wa daraja la Kigamboni.
Last time I checked serikali ya Holland wamekubali kutoa grant ya 50% ya cost ya daraja lote. For reasons best known to themselves, wizara ya Miundo Mbinu pamoja na wizara ya Fedha wamekuwa wakikwamisha kwa makusudi juhudi za ujenzi, inasemekana wizara ya Miundo Mbinu wapo radhi daraja lijengwe na watu wengine (mbali na wadachi) na serikali igharamie in FULL.
Sasa swali ikiwa kuna 50% grant yes GRANT sio LOAN ( condition ni kuwa kampuni za kidachi tu ndio zishindanie tenda)ni vipi watu wanang'ang'ania serikali igharamie in FULL?
Lawama hapa ni lazima, kwani ishu imezungumziwa miaka mingi lakini hakuna utekelezaji. Tunasubiri wakizama watu ndio tunaikumbuka.
Si lazima kutegemea msaada. Hilo daraja lijengwe kwa mfumo wa BOT (Build, Operate and Transfer). Wawekezaji, prefarably Watanzania, walijenge na wakusanye fedha toka kwa watumiaji.
Watumiaji watakuwa wengi kuliko wanaotumia feri sasa.
Kitakachohitajika ni mkataba (usio wa siri) kati ya serikali na wawekezaji. Mkataba uonyeshe nini kitajengwa, ada ya matumizi, litakuwa mali ya serikali baada ya miaka mingapi, etc.
Haiwezekani tukawa na madaraja na barabara za kutosha na kuridhisha bila kutumia hii njia ya BOT. Malaysia na Thailand wameitumia na imewawezesha kuwa na njia za mawasiliano nzuri sana.
Yajengwe madaraja Kurasini na Kivukoni kwa njia hiyo ya BOT.
Toll roads and toll bridges are things we should embrace.
Kama wewe sio mkurupukaji mbona hukujibu swala nililouliza hili hapa:
Hivi ni kweli tunahitaji daraja pale Kigamboni? Je, hiyo ndiyo priority yetu kwa sasa? Kama ni hivyo gharama hizo zitatoka wapi?
Kama wewe ni kweli hebu tufafanulie majibu ya swala nililouliza hapo juu. Unapoamua kufanya kitu ni lazima uangalie economic benefits hasa kwa swala kama hili ambalo utatuzi wake umekuwa kitendawili kwa miaka kadhaa, bila kusahau pesa zinavyotafunwa kila miaka kwa ajili ya kivuko hewa/daraja ambalo ukiangalia kwa undani hakuna hata mmoja ambaye amefanya study ambayo inakwenda na wakati.
Wewe endelea kumsubiri GT akuletee faili mboga. Na sina mpango wa kukujua kama unavyotaka.
DUA post inaonesha either unapenda kushindana au kukichangamsha kijiwe cha JF...
...napenda kukujibu swali laka kama ifuatavyo.
1. Ni Kweli tunahitaji Daraja Kigamboni...posts za baadhi ya member zikutoshe pia.
2. Priority its a personal judgment...on my side hio ni moja ya priority kwasasa kwa tunaoishi huko...kama unaishi Nje ya kigamboni au hujui umuhim wake...sikulaumu may be time will tell.
3. Gharama nafikiri baadhi ya Member wametaja. Pia hili jambo sio geni, Bungeni washajadili hili suala. na baadhi ya wabunge washawahi kumuuliza Mramba(enzi hizo miundo mbinu). inshort..Wadachi watatoa 50%(as per proposal iliyopelekwa huko), the remaining NSSF will cover.
Kuna economic benefits nyingi ktk Ujenzi huo, sema uwezo wako wa ku-analyse ni mdogo...
Swali lako la kulaumu eti study haijafanyika..nimekueleza kama wewe ni mtaalamu wa Civil Engineering weka proposal zako hapa JF na pia uwatumie wale wahusika...usikae kusema hakuna watu walofanya hio study au hadi wewe uwajue hao wataalamu?
Dar es Salaam going nowhere, but up!
Major Developments underway to make Dar es Salaam a world-class city
DEVELOPMENTS UNDERWAY
Dar es Salaam, which means the haven of peace, is a beautiful coastal city that is now the economic capital of Tanzania. There are now many positive initiatives at creating a safer, planned and caring city. Dar es Salaam is trying its level best to be a world-class city.
Dar es Salaam has already joined three other cities aimed at initiating the sustainable and safer cities programme. Let us look at some of the attractive and important developments that are underway:
1. DAR ES SALAAM RAPID TRANSIT
The Dar es Salaam Rapid Transit (DART) project will provide commuter services to Dar es Salaam residents using exclusive coaches. The project includes the expansion of city roads, the procurement of the buses and construction of designated bus stop locations to be used specifically for the express coaches.
The fast moving coaches will have exclusive lanes, will adhere to a schedule, including departure and arrival at bus stops whether they have enough passengers or not. The city coaches are expected to ply only on major roads that connect the suburb roads.
The buses would have a carrying capacity of 160 passengers. The first phase of the project will start from Ubungo to the City Centre.
The DART, which has already been implemented in many parts of the world, has many advantages as compared to the present public transport system. It includes a cheaper means of transportation; it is reliable and comfortable in terms of scheduled trips, size, and type of buses deployed.
DART is friendlier in terms of less pollution, emissions and noise.
As regards to efficiency, the project will lessen congestion. In order to achieve this DART will have its own lanes, and will be controlled by routing system through computer network. Boarding and disembarking will be planned to take a few minutes.
2. KIGAMBONI BRIDGE
The Kigamboni area is part of the city of Dar es Salaam. It is divided from rest of the city by the Kurasini Creek. Pedestrians and Vehicles get across using the pantone or by using the road from Kilwa road.
However, the National Social Security Fund has decided to build a bridge across the creek. With this, it is hoped that there would be more development in Kigamboni area with regards to more schools, hospitals and housing.
3. PEDESTRIAN FLYOVERS
There are plans to build more pedestrian bridges at various locations in Dar es Salaam.
Currently Dar es Salaam boast of only one bridge at Manzese.
The construction of the flyover-bridges is expected to bring accident levels down.
4. STREET LIGHTS
Plans are underway to ensure that all street lights in dar would be functioning. A person looking down from high above would see the city like an eagle who has spread its wings. The plan would use the Alladin Concept which is used in many parts of the world. 106 roads would be given priority. Dar es Salaam city has 2005 kilometres of road.
5. TOURIST CITY
More than 640 hectares of the area on the coast of the Indian Ocean in Dar es Salaam, has been reserved to start a new tourist city that would be known as Sea Harbour City.
The reclamation of the land from the sea will extend from Kenyatta Drive to the areas behind the State House. The completion of the project is expected to change completely the face of Dar es Salaam.
Already some experts have researched on the area and found it suitable for the new city. Under the construction, the seawater would be drawn forward and the area would be filled with soil.
After the construction, there would be 200 shops, many tourist hotels, and other attractions for tourists. The whole area around Salender Bridge would have gardens of different types of wild birds in order to make the city more beautiful.
The new town will have new facilities like modern traffic routes connecting the new city with the old one, office space, shops, financial institutions, supermarkets, hotels and apartments, banks have been included in the plan. Apart from building offices, the developers are planning to set aside space for a small zoo.
DEVELOPMENTS DONE
1. ULTRA MODERN SPORTS STADIUM
With the assistance of china, Dar es Salaam now boasts of an ultra modern national stadium with a capacity of 60,000 spectators. The multi-billion shilling project is a state-of-the-art stadium, it is a FIFA, and Olympic standard complex and has house a 60,000-seater football stadium, an indoor games stadium and a theatre.
2. SURVEILLANCE CAMERAS TO FIGHT CRIME
The city of Dar es Salaam now includes surveillance cameras for catching and recording different activities taking place in different parts of the city. The cameras also help the Dar es Salaam police fight crime in the city.
While it is good to not the above developments, they should be sooner than latter. In addition, more developments also need priority. These include:
A. Roads
There should be provision of road signs and markings, including zebra crossing. Moreover, there should be street widening initiatives and facilities such as walkways and bicycle ways. Push Buttons in Zebra Crossings.
B. Emergency
Fire, health and other emergency services should be invested upon seriously.
C. Water & Electricity
In order to woo investors, we need regular and uninterrupted supply of water and electricity.
D. Crime
Crime of all types needs to be tackled. From pickpockets to armed robbery, all need to be tackled soon.
E. Cleaning and beautifying the city
Investments for more recycling centers. Initiatives for cleaning the city, planting trees, flowers and green grass. Converting all roundabouts into landmarks.
F. Vehicle Flyovers
Flyovers at road intersections to ease traffic congestion.
G. Slums upgraded
Many areas in Dar have only slums. They should be rehabilitated.
Dar es Salaam should go nowhere, but up. It should be safe, clean, convenient and a harmonious city.
Turning left off the Nyere road, the main route between Dar es Salaam city centre and the airport, the ancient VW van - more rust than metal - bucks and weaves, slewing down 2ft deep craters that pock-mark the dirt track. Within moments of leaving the tarmac road you enter the slums of Dar es Salaam, home to 80 per cent of the city's 3m population, where a one-room house of cement blocks, rotting wood and rusting corrugated metal will house a family of eight. Shallow wells dug next to pit latrines are a source of contaminated water often used for washing, drinking and cooking.
It is in the slums of Tanzania's largest city that the grim statistics linked to one of the planet's poorest countries are rooted. The happy snapshot of laughing African children posing for the camera has a grotesque twist here. Two out of every 10 children will die before they are five years old from preventable diseases such as cholera, malaria and diarrhoea.
There are few old people in the city slums where life expectancy is 37, well below the national average of 45 calculated by the World Bank for 2000. Aids is driving life expectancy down. According to UN figures for 1999, 8 per cent of Tanzanians are HIV positive, but no one really knows the true grip the disease has on the country. There are indications that the figure is far higher. Cervical cancer rates are on the rise, a sign of increasing infectivity, and in some urban areas up to 30 per cent of pregnant women are diagnosed HIV positive. But it would be a mistake to think of Tanzania as an aid-dependent country devoid of hope. Behind the images of disease, poverty and hopelessness so commonly associated with Africa lies a far more optimistic truth. By focusing on Tanzania's approach to public health and the development of the environmental health profession it is clear that Tanzania is a country capable of solving its own problems.
Over the past four years, the Tanzanian government has undergone a series of radical reforms that some believe the UK government would do well to emulate. The ruling Chama Cha Mapinduzi party has taken bold steps to relinquish power to local authorities in a bid to give the people what they ask for, rather than what the government thinks they need.
"In the past, the way it worked was that central government would tell the districts that 'we want this issue dealt with' and they would have to do it," explains Dr Gabriel Upunda, Tanzania's chief medical officer. "Now there are very few issues districts have to include in their health plans. For example, if they want to focus on the eradication of polio they include it in their district plan and there should then be a policy of bottom up planning to address the problem."
"The changes have meant we are now in a position where we can say to the districts that they should make their requirements known," he continues. "The Department of Health will organise the training of skills but the deployment of workers is now done at district level. Through the district plans we will learn to listen to the community, find out what the people want and then provide it for them."
But four years of upheaval has had its price. And one of the most disruptive results of the reform period has been a freeze on the employment of EHOs, which has meant that students taking the country's environmental health diploma course at Muhimbili University have been unable to find work. Meanwhile, Tanzania's 450 employed EHOs have been struggling with increasingly impossible workloads. Only health workers seconded from their districts and retraining as EHOs have been guaranteed employment at the end of the three-year course. However, according to Dr Upunda that is all in the past and he guarantees that all students on the diploma course and the new environmental health degree course, launched last year, will find employment.
"Health workers are being shifted away from central to local government," he says. "And by the time the students are finishing the degree course the situation will have changed. Contracts are the way we want to move [forward] with EHOs having renewable contracts for three to five years. We don't want to put an end to the public service career pathway, it's just that once staff have established a position they will still have to deliver."
To talk of contracts and private EHOs, just 17 years after Julius Nyerere, the architect of African socialism, stepped down as Tanzania's president is a sign of just how fast this country is changing. As Dr Upunda points out, it was only fifteen years ago that a Tanzanian government minister was almost fired for even suggesting that some health care costs should be paid for privately. Addressing public health is increasingly being recognised as essential if Tanzania's high mortality rate is to be reduced. And at the heart of the new health strategy is public health education, with trained health assistants operating at village level capable of educating people about disease control, hygiene and nutrition.
"Even more so now than ever before with the very high prevalence of HIV, good nutrition is very important to those who have been infected," adds Dr Upunda. "The pattern of disease has been changing. Although we have a lot of infectious diseases, non-communicable diseases including cancer are going up fast." Tanzania currently has around 1,500 health assistants, and the government would ideally like to see this rise to 8,000 - one for each village. But resources are limited and no one knows how soon this ambitious target can realistically be reached.
At local authority level the diploma-qualified EHOs are responsible for vaccinations, communicable disease control, waste management, food safety and monitoring water quality. Health and safety and environmental protection tend to be more the concern of large western companies, with Tanzanian EHOs concentrating on front-line disease prevention without specialising in other fields. It is recognised that the biggest problem facing EHOs in rural areas is transport. With, in some cases, thousands of kilometres to be covered and only one vehicle, access to remoter villages can become impossible.
This is the kind of issue that the new degree-qualified EHOs will have to grapple with. Graduating for the first time from Muhimbili University in 2004, they will be responsible for formulating public health policy on an equal footing with doctors and other health workers in the county's newly empowered regions, local authorities and health districts.
It is only by talking to Tanzanians, from slum dwellers to senior members of government, that it becomes apparent everyone shares the one belief that education will be Tanzania's salvation. And it is in part due to the library appeal, launched by former CIEH chairman, John McCandless and the Northern Ireland Centre and supported by the charity Water for Kids, that a 30-year dream for the profession to gain degree status became a reality last year.
The library, given to the Tanzania Health Officers Association (CHAMATA), is an example of the sort of sustainable aid that Tanzania needs more of. It provides a vital resource for the 24 students, who were selected from around 600 applicants for the first year of the degree course. Next year, 40 students will be enrolled with hopes for increasing student numbers year on year.
"Not being educated to degree level had a bad effect," explains Fabian Magoma, Tanzania's chief EHO and chair of CHAMATA, which has been campaigning since 1974 to have the diploma qualification upgraded. "If you put a group of professionals together such as EHOs, engineers, doctors and social scientists and they are all trained to their particular level, although your contribution is important, because the health officer is only trained to diploma level the other professions will not listen."
But, adds Mr Magoma, the education of the people in the villages and the slums is equally important. "We have a big problem with donor dependence which results in us trying to satisfy the interests of donor agencies rather than involving the people. An example is malaria control where impregnated mosquito nets are being given to the people. Although this is a good thing, it would be better if the people were more educated about malaria control so when they saw mosquito breeding sites they would be struck by it and demand change." There are no illusions that things will change overnight. With half the population living on less than £130 a year, it is recognised that poverty is at the heart of Tanzania's battle to improve its people's health. That is why there is such a desperate need to encourage inward investment and to develop the country's growing tourist trade.
And by visiting the slums of Dar es Salaam it is clear that just providing a public health structure is only a small part of the story. A migration from rural communities to the city, which is growing at 10 per cent a year, is putting an impossible strain on a city where most people are living without drains, roads or adequate housing. Nifukwa Mwakipake, senior tutor at the school of hygiene at Muhimbili University, believes that only by focusing on city planning will the overcrowding which is causing social problems and disease be resolved.
"You must instil in the people a sense of hope," he says. "You can't push them out of the slums because it is a violation of their human rights, so we need mapped out areas with some form of land ownership so property has a value and people know that this is their plot."
Poverty also impacts on the EHOs ability to enforce the law. Renatus Mashauri, a Tanzanian EHO and lecturer who has experienced environmental health in the UK, explains: "Even though we are enforcing a minimum legal standard it is still costly for businesses which are earning so little. In the end it is better for people to have work." The transient nature of business is also a problem. "In some areas of town people are well trained in food hygiene, but there are many people who cook at home and sell the food on the street. It is not easy because they will be gone tomorrow. You also have to be humane, you can't put these people in jail or their families will be destroyed," adds Mr Mashauri. The government is taking steps to tackle the food safety issue and legislation is currently going through parliament to set up a drug and food commission. Putting pharmaceutical control in the same agency as food hygiene is in part due to the lack of degree status EHOs have suffered until now. Ministers believe that food hygiene techniques will improve faster under the influence of the more academic pharmaceutical profession.
Probably the worst effect of poverty is that it deprives the poor of access to safe water, and if this one problem could be solved then most of the diseases which kill so many of Tanzania's children could be eliminated. While communities have access to deep wells, the country's crippling poverty often means that people cannot afford the few pennies it takes to pump the water to the surface. In the same way that Britain dealt with the scourge of disease and poverty in the 19th century through education and economic development, Tanzania is solving its own problems and EHOs are contributing to its journey to prosperity and health.
MCHUNDO..thanks kwa sources...na pia kwa comments zako. Kimsingi hatuna uwezo wa kuwa kama dubai, dubai yenyewe ni ndogo kuliko MKOA wa DSM...hivyo hatulinganishi in everything. Tunaangalia maeneo tu ambayo tunaweza iga. Hizo FLats 17 za [Mafuta House]!!ndio jengo moja tu tena mbwembwe nyingi hadi kufunguliwa kwake..Huko Sharjah tu ndugu zetu wanaokwenda kuchukua spear Mbovu...hizo 17 flats zipo Kibao, Kiongozi wao hana Muda kwenda kufungua hizo 17flats...so msingi wangu wa Hoja ni kuwa hatuwezi iga kila kitu kutoka kila Nchi, na pia si kweli Dubai imeendelea kuliko nchi zingine tumetolewa mfano tu.
Kimsingi Toll System kaka Mchundo si kwa watembea kwa Mguu, tena kwao wao itakuwa FREE kupita ktk hizo Daraja. Toll system kwa magari ambayo hadi mtu achukue gari, then huyo mtu hana DHIKI ya 100.
Morani75,
Nitatofautiana nawe ktk hicho kipengele cha pili...Location unapojaribu kutumia meli kama ni sababu kwani yapo madaraja mengi sana yaliyojengwa ktk nafasi kama hiyo ama chini yake na katikati ya mji kwenye maghorofa marefu zaidi ya hayo yetu vipimbi.
Kumbuka tu kuwa tuna ufuko mrefu sana sambamba na barabara ya Ocean road nje kabisa ya Benki kuu, Ikulu na vyote ulivyovisema ambao unaweza kabisa bila ubishi kupata gradient na mapito ya meli hizo. Tatizo kubwa ni mwinuko wa tosha tokea upande huu na sii upande wa Kigamboni kisha daraja hujengwa kwa malengo ya baadaye kupunguza congestion na sio kufikiria wakati wa ujenzi hali majumba kila siku yanajengwa na congestion hiyo hutokea kwa muda...
Mkuu hapa kinachotakiwa ni kutazama solution ya Usafiri kwenda Kigamboni ambako kulingana na maelezo niliyoyapata wizara ya Utalii ina plan kuweka mahotel makubwa, viwanja vya golf na kadhalika ili kubadilisha mtazamo hali ya Utalii nchi kutotegemea zaidi mapori na Wanyama. Dubai ambayo haina wanyama wala mapori leo hii ina attract watalii wengi zaidi kuliko sisi kwa sababu Ndivyo tulivyo...Tunaendekeza fikra njozi za kufkiria kuwa Utalii ni Safari na nature hali kila nchi duniani ina nature yake, kisha tofauti ya nchi za kiafrika ni ndogo sana.
Moran75,
Nimekuelewa mkuu ktk hoja zote na ndio maana nimesema kipengele hicho tu. Pia nimeeleza navyofahamu mimi na labda nikurudishe nyuma kidogo. Mji wa Dar es Salaam unafahamika kwa kitu kimoja kikubwa sana.. nacho ni kwamba kuna barabara moja tu toka katikati mjini kwa kila kitongoji chake. Si Ubungo, Kinondoni, Temeke, Buguruni wala Ukonga na sehemu zote hizi zilimewahi jengwa barabara mpya bila kufikiria sana matatizo ya muda (congestion) mfupi ambayo ni lazima yatakuwepo hata ikiwa ujenzi wa mtaro tu. Lakini baada ya kujengwa hizo barabara zimeweza kwa kiasi kikubwa ku handle traffic pamoja na kwamba planning ya mji wetu ni mbovu toka enzi ya Ukoloni.
Kwa hiyo ujenzi wa daraja hili uchukuliwe kama ni hatua moja ya kuondokana na tatizo la Usafiri kama vile tunavyosisitiza ujenzi wa barabara. Hizo congestion zote zitakuwepo kwa muda na baada ya ujenzi wa Daraja hilo kumbuka watu wote unaosema huenda na Kilwa road wanatokea mjini sio toka Kurasini, Mtoni ama Temeke. Hivyo basi hata kabla ya kushika njia hiyo ya Kilwa ni lazima wapitie maeneo ambayo unayazunguzia na imekuwa vigumu kwa waendesha magari na mabasi yetu kuweza kutoka mjini na pia kumbuka kuwa Kigamboni ndio sehemu pekee imebakia isiyokuwa na exit ya haraka (barabara) zaidi ya kuzungukia Mbagala.
Na kwa wale wanaodai hawaoni umuhimu wa daraja hili kwa madai ya kuwa haliwezi kuwasaidia Watanzania walio wengi... Hii inanishangaza sana kwa sababu sioni kabisa mantiki yake kwani nikitumia mfano wao naweza sema hatukuhitaji Airport ya kimataifa hata kidogo...Ni watu wangapi wanaoweza ku afford kusafiri kwa ndege licha ya jiwanja kubwa lililochukua eneo kubwa na hata kusababisha makazi ya wananchi walalahoi kuhamishwa bila matakwa yao.
Je, uwanja huo unamnufaisha nini Mtanzania maskini tunaye jaribu kumsema hapa, ikiwa mji wetu unapanuka na Kigamboni ambako mahotel makubwa yanajengwa kwa sababu ya kupanua Utalii nchini hasa ktk mji wetu mkubwa kuna kosa gani kimaendeleo. Bila shaka hatuwezi kujipima na nchi kama Dubai ama nchi yeyote ile kwa mapana ama gharama ya suti yetu hii mpya lakini haiwezi kuchusha Dar Es Salaam nayo ikavaa suti hata kama ni ya kutoka China...Hatufanyi kuiga ila ni umuhimu wa kurahisisha usafiri ktk jiji letu ambalo ni alama yetu kubwa nje na ndani.
Wakuu, huu ni wakati wa mabadiliko yale maswala ya fikra za Kijamaa ndugu zangu kidogo inabidi mwende na wakati. Miji yote duniani haifanani na kila nchi ina mji mkuu wenye maendeleo makubwa tofauti na miji mingine modogo ambayo pia ina sifa zake na pengine ujenzi wa vivutio tofauti na miji mingine. Na ndio maana leo hii tuna halmashauri za miji ambazo kazi yake kubwa ni kujaribu kuepuka ule mfumo centralization ambao kwa muda mrefu umekuwa ukitumika.
Daraja la Kigamboni ni muhimu sana pale mjini kabla ya kuwekwa vivuko vingine kwani ukitazama mji wetu wa Dar unazidi kupanuka na kuna eneno kubwa sana upande huo wa Kigamboni ambao sii wengi kati yetu ambao wanafahamu huko Kigamboni kunafanana vipi pamoja na kwamba ni karibu sana toka mjini kuliko vitongoji vinginevyo..
Moran75,
Nimekuelewa mkuu ktk hoja zote na ndio maana nimesema kipengele hicho tu. Pia nimeeleza navyofahamu mimi na labda nikurudishe nyuma kidogo. Mji wa Dar es Salaam unafahamika kwa kitu kimoja kikubwa sana.. nacho ni kwamba kuna barabara moja tu toka katikati mjini kwa kila kitongoji chake. Si Ubungo, Kinondoni, Temeke, Buguruni wala Ukonga na sehemu zote hizi zilimewahi jengwa barabara mpya bila kufikiria sana matatizo ya muda (congestion) mfupi ambayo ni lazima yatakuwepo hata ikiwa ujenzi wa mtaro tu. Lakini baada ya kujengwa hizo barabara zimeweza kwa kiasi kikubwa ku handle traffic pamoja na kwamba planning ya mji wetu ni mbovu toka enzi ya Ukoloni.
Kwa hiyo ujenzi wa daraja hili uchukuliwe kama ni hatua moja ya kuondokana na tatizo la Usafiri kama vile tunavyosisitiza ujenzi wa barabara. Hizo congestion zote zitakuwepo kwa muda na baada ya ujenzi wa Daraja hilo kumbuka watu wote unaosema huenda na Kilwa road wanatokea mjini sio toka Kurasini, Mtoni ama Temeke. Hivyo basi hata kabla ya kushika njia hiyo ya Kilwa ni lazima wapitie maeneo ambayo unayazunguzia na imekuwa vigumu kwa waendesha magari na mabasi yetu kuweza kutoka mjini na pia kumbuka kuwa Kigamboni ndio sehemu pekee imebakia isiyokuwa na exit ya haraka (barabara) zaidi ya kuzungukia Mbagala.
Na kwa wale wanaodai hawaoni umuhimu wa daraja hili kwa madai ya kuwa haliwezi kuwasaidia Watanzania walio wengi... Hii inanishangaza sana kwa sababu sioni kabisa mantiki yake kwani nikitumia mfano wao naweza sema hatukuhitaji Airport ya kimataifa hata kidogo...Ni watu wangapi wanaoweza ku afford kusafiri kwa ndege licha ya jiwanja kubwa lililochukua eneo kubwa na hata kusababisha makazi ya wananchi walalahoi kuhamishwa bila matakwa yao.
Je, uwanja huo unamnufaisha nini Mtanzania maskini tunaye jaribu kumsema hapa, ikiwa mji wetu unapanuka na Kigamboni ambako mahotel makubwa yanajengwa kwa sababu ya kupanua Utalii nchini hasa ktk mji wetu mkubwa kuna kosa gani kimaendeleo. Bila shaka hatuwezi kujipima na nchi kama Dubai ama nchi yeyote ile kwa mapana ama gharama ya suti yetu hii mpya lakini haiwezi kuchusha Dar Es Salaam nayo ikavaa suti hata kama ni ya kutoka China...Hatufanyi kuiga ila ni umuhimu wa kurahisisha usafiri ktk jiji letu ambalo ni alama yetu kubwa nje na ndani.
Wakuu, huu ni wakati wa mabadiliko yale maswala ya fikra za Kijamaa ndugu zangu kidogo inabidi mwende na wakati. Miji yote duniani haifanani na kila nchi ina mji mkuu wenye maendeleo makubwa tofauti na miji mingine modogo ambayo pia ina sifa zake na pengine ujenzi wa vivutio tofauti na miji mingine. Na ndio maana leo hii tuna halmashauri za miji ambazo kazi yake kubwa ni kujaribu kuepuka ule mfumo centralization ambao kwa muda mrefu umekuwa ukitumika.
Daraja la Kigamboni ni muhimu sana pale mjini kabla ya kuwekwa vivuko vingine kwani ukitazama mji wetu wa Dar unazidi kupanuka na kuna eneno kubwa sana upande huo wa Kigamboni ambao sii wengi kati yetu ambao wanafahamu huko Kigamboni kunafanana vipi pamoja na kwamba ni karibu sana toka mjini kuliko vitongoji vinginevyo..
ktk WikipediaCuritiba has a master planned transportation system, which includes lanes on major streets devoted to a bus rapid transit system. The buses are long, split into three sections (bi-articulated), and stop at designated elevated tubes, complete with disabled access. There is only one price no matter how far you travel and you pay at the bus stop. The system, used by 85% of Curitiba's population, is the source of inspiration for the TransMilenio in Bogotá, Colombia, Metrovia in Guayaquil, Ecuador,as well as the Orange Line of Los Angeles, California, and for a future transportation system in Panama City, Panama. The city has also paid careful attention to preserving and caring for its green areas, boasting 54 m² of green space per inhabitant.
Moran75,
Nimekuelewa mkuu ktk hoja zote na ndio maana nimesema kipengele hicho tu. Pia nimeeleza navyofahamu mimi na labda nikurudishe nyuma kidogo. Mji wa Dar es Salaam unafahamika kwa kitu kimoja kikubwa sana.. nacho ni kwamba kuna barabara moja tu toka katikati mjini kwa kila kitongoji chake. Si Ubungo, Kinondoni, Temeke, Buguruni wala Ukonga na sehemu zote hizi zilimewahi jengwa barabara mpya bila kufikiria sana matatizo ya muda (congestion) mfupi ambayo ni lazima yatakuwepo hata ikiwa ujenzi wa mtaro tu. Lakini baada ya kujengwa hizo barabara zimeweza kwa kiasi kikubwa ku handle traffic pamoja na kwamba planning ya mji wetu ni mbovu toka enzi ya Ukoloni.
Kwa hiyo ujenzi wa daraja hili uchukuliwe kama ni hatua moja ya kuondokana na tatizo la Usafiri kama vile tunavyosisitiza ujenzi wa barabara. Hizo congestion zote zitakuwepo kwa muda na baada ya ujenzi wa Daraja hilo kumbuka watu wote unaosema huenda na Kilwa road wanatokea mjini sio toka Kurasini, Mtoni ama Temeke. Hivyo basi hata kabla ya kushika njia hiyo ya Kilwa ni lazima wapitie maeneo ambayo unayazunguzia na imekuwa vigumu kwa waendesha magari na mabasi yetu kuweza kutoka mjini na pia kumbuka kuwa Kigamboni ndio sehemu pekee imebakia isiyokuwa na exit ya haraka (barabara) zaidi ya kuzungukia Mbagala.
Na kwa wale wanaodai hawaoni umuhimu wa daraja hili kwa madai ya kuwa haliwezi kuwasaidia Watanzania walio wengi... Hii inanishangaza sana kwa sababu sioni kabisa mantiki yake kwani nikitumia mfano wao naweza sema hatukuhitaji Airport ya kimataifa hata kidogo...Ni watu wangapi wanaoweza ku afford kusafiri kwa ndege licha ya jiwanja kubwa lililochukua eneo kubwa na hata kusababisha makazi ya wananchi walalahoi kuhamishwa bila matakwa yao.
Je, uwanja huo unamnufaisha nini Mtanzania maskini tunaye jaribu kumsema hapa, ikiwa mji wetu unapanuka na Kigamboni ambako mahotel makubwa yanajengwa kwa sababu ya kupanua Utalii nchini hasa ktk mji wetu mkubwa kuna kosa gani kimaendeleo. Bila shaka hatuwezi kujipima na nchi kama Dubai ama nchi yeyote ile kwa mapana ama gharama ya suti yetu hii mpya lakini haiwezi kuchusha Dar Es Salaam nayo ikavaa suti hata kama ni ya kutoka China...Hatufanyi kuiga ila ni umuhimu wa kurahisisha usafiri ktk jiji letu ambalo ni alama yetu kubwa nje na ndani.
Wakuu, huu ni wakati wa mabadiliko yale maswala ya fikra za Kijamaa ndugu zangu kidogo inabidi mwende na wakati. Miji yote duniani haifanani na kila nchi ina mji mkuu wenye maendeleo makubwa tofauti na miji mingine modogo ambayo pia ina sifa zake na pengine ujenzi wa vivutio tofauti na miji mingine. Na ndio maana leo hii tuna halmashauri za miji ambazo kazi yake kubwa ni kujaribu kuepuka ule mfumo centralization ambao kwa muda mrefu umekuwa ukitumika.
Daraja la Kigamboni ni muhimu sana pale mjini kabla ya kuwekwa vivuko vingine kwani ukitazama mji wetu wa Dar unazidi kupanuka na kuna eneno kubwa sana upande huo wa Kigamboni ambao sii wengi kati yetu ambao wanafahamu huko Kigamboni kunafanana vipi pamoja na kwamba ni karibu sana toka mjini kuliko vitongoji vinginevyo..