T Tiger JF-Expert Member Nov 30, 2007 1,747 386 Sep 20, 2012 #1 Umewahi kusikia hii: eti ukiwa unamnyonyoa bata huku unaongea manyoya hayaishi. Mi sijui kama ni kweli. Wewe je?
Umewahi kusikia hii: eti ukiwa unamnyonyoa bata huku unaongea manyoya hayaishi. Mi sijui kama ni kweli. Wewe je?
S Sangomwile JF-Expert Member Aug 17, 2012 3,195 1,021 Sep 20, 2012 #2 Nilishachimbwa biti enzi hizo,wazee waliona u(m)kiongea maini yatachelewa.Hakuna cha kuota manyoya wala nywele.
Nilishachimbwa biti enzi hizo,wazee waliona u(m)kiongea maini yatachelewa.Hakuna cha kuota manyoya wala nywele.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,818 93,491 Sep 20, 2012 #3 mi nishawahi kuambiwa ukiongea wakati wa kula haushibi
T Tiger JF-Expert Member Nov 30, 2007 1,747 386 Sep 20, 2012 Thread starter #4 Sangomwile said: Nilishachimbwa biti enzi hizo,wazee waliona u(m)kiongea maini yatachelewa.Hakuna cha kuota manyoya wala nywele. Click to expand... ha ha haaa!
Sangomwile said: Nilishachimbwa biti enzi hizo,wazee waliona u(m)kiongea maini yatachelewa.Hakuna cha kuota manyoya wala nywele. Click to expand... ha ha haaa!
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,135 13,254 Sep 21, 2012 #5 BATA ni BATA hata ukimpa mkate bila maji atahara tu.
Arabela JF-Expert Member Jul 24, 2012 3,127 2,227 Sep 21, 2012 #6 Tiger said: Umewahi kusikia hii: eti ukiwa unamnyonyoa bata huku unaongea manyoya hayaishi. Mi sijui kama ni kweli. Wewe je? Click to expand... ni kweli nliwahi fanyia kazi
Tiger said: Umewahi kusikia hii: eti ukiwa unamnyonyoa bata huku unaongea manyoya hayaishi. Mi sijui kama ni kweli. Wewe je? Click to expand... ni kweli nliwahi fanyia kazi