Maajabu haya ya nywele

Maajabu haya ya nywele

Habarini za asubuhi watukuka wa JF
Leo sijatupia mida ya wanga sikupenda kuwaogopesha wale wapendwa wangu
Maajabu haya ya nywele! Usipeleke mawazo yako kwenye yale majina yake kwamba zote ni nywele lakini zinatofautiana majina kutokana na mahali zilipo(ota)
Maajabu ya nywele ninayotaka kuzungumzia ni haya
-akili hulinganishwa na nywele kwenye muktadha wa methali za kiswahili
-nywele hutumika kama malighafi bora kabisa kwenye ulimwengu wa giza
-nywele huendelea kuota kwa muda fulani hata baada ya mwili kufa
-nywele hubaki bila kuharibika hata baada ya mwili kuoza kabisa
-rohochafu mapepo hata baadhi ya majini hupenda kukaa kwenye nywele ndio maana baadhi ya vichaa wakinyolewa tu hupata nafuu
Kwa akina dada zangu unapovaa wigi halisi la nywele za mtu unabeba usisoyajua hasa kama mwenyewe keshatangulia kaburini
Mkuu unafahamu kuwa nywele ni ingredient kuu katika tiba ya kuunga mifupa bila ya kufunga POP??
 
Mshana Jr popote ulipo agiza bapa moja , kitimoto safi shusha vitu taratibu bill yote juu yangu

Hizi nywele zinatia umasikini katika ndoa, kwani gharama zake ni kubwa sana
 
Mshana Jr popote ulipo agiza bapa moja , kitimoto safi shusha vitu taratibu bill yote juu yangu

Hizi nywele zinatia umasikini katika ndoa, kwani gharama zake ni kubwa sana
kule mirinda huku bapa
 
Mkuu ni siri ya koo fulani zisizopenda utaalamu huo ujulikane kwa wengine. Siri hiyo hurithishwa watoto wa kwanza wa kiume katika uzao wa warithi. Na mimi kama mtoto wa kwanza wa kiume nilibahatika kuijua siri hiyo ya nywele..
Mmh hii ndio naisikia leo
 
Mkuu ni siri ya koo fulani zisizopenda utaalamu huo ujulikane kwa wengine. Siri hiyo hurithishwa watoto wa kwanza wa kiume katika uzao wa warithi. Na mimi kama mtoto wa kwanza wa kiume nilibahatika kuijua siri hiyo ya nywele..
Niruhusu nikutafute
 
Back
Top Bottom