Maajabu haya ya nywele

Maajabu haya ya nywele

Hivi huyu jamaa ni mganga au mchawi maana nimekuwa nikipitia post zake nyingi , yaani ni mambo ya elimu dunia tu,

Japo nyingine zinafundisha na nyingine vijui ,,ila pia nachokiona anajaribu kuonyesha mila za waafrika walipo toka na jinsi walivyo weza kupambana na mazingira yao kwakutumia imani zao hizi,

Ila swali langu sasa ni kwamba je huyu mshana jr, ni mganga au mchawi?
Weka vyeti

Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
 
Mbona haiendelei au unasubiri mida yako ya wanga Giza nene
Aaah bwana eeh jana si nikatoa loku na ile haramu mpya kwa mama Batuli! Mida ya wanga imenipita wima
 
Nimepata tetesi kwamba umekodishwa kuanzisah nyuzi za kutisha ili kuwasahaulisha watu na suala la vyeti vya mtu, je tetesi hizi ni kweli...!!?? Kama siyo kweli hebu toa maelezo kidogo kuhusu uhalali wa mtu kulipwa mshahara au kuapa kwa jina la mtu mwingine...!!@Mshana
 
Nimepata tetesi kwamba umekodishwa kuanzisah nyuzi za kutisha ili kuwasahaulisha watu na suala la vyeti vya mtu, je tetesi hizi ni kweli...!!?? Kama siyo kweli hebu toa maelezo kidogo kuhusu uhalali wa mtu kulipwa mshahara au kuapa kwa jina la mtu mwingine...!!@Mshana
 
Wadada wapenda wigi sijui brazilian wenyewe wanasema original,haijalishi kuwa mtu yupo hai au marehem as long as unatumia nywele zake ujue tu una shida
 
bora uwaambie mana nikisema mimi utasikia oooh mabahili upend kumtunza mpenzi wako kumbe na epuka mambo kama haya nampenda ndo mana mambo ya mawig wig haya hakuna

ila mkuu kuna wanawake wengine manunda ukimwambia ivyo anakwambia sio mbaya akapata majini ya kizungu
Watakuja tu kuelewa siku moja!
Bora basi nyoa tu km huna nywele
 
Nywele zinatumika sn kwny giza pia,madhabahu za kifamilia nako ni balaa ,waambie hivi wawaulize mama/bibi zao walipowanyoa nywele za uchanga walizipeleka wapi?
 
Back
Top Bottom